Admin

Watumishi 25,039, taasisi 65 wahamia Dodoma

Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watumishi 25,039 kutoka Serikali kuu, Bunge, mahakama, vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na taasisi 65 wameshahamia Dodoma na wanaendelea kutekeleza majukumu yao wakiwa makao makuu ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo imekuja baada ya zoezi la kuhamisha makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam…

Read More

DARAJA LA RUHEMBE LAWAFUTUTA MACHOZI WANANCHI WA MIKUMI

Kwa muda mrefu wananchi wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo wameteseka kwa kusafiri umbali mrefu au kuzunguka kwenye mapori ya miwa kufikia huduma za kijamii. Hali hiyo ilitokana na kukosekana kwa kiunganishi madhuhuti cha miundombu ya barabara katika kata hizo. Akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Read More

Watu 567 wakamatwa Geita  kwa tuhuma za uhalifu 

Geita. Jeshi la Polisi Mkoani Geita limewakamata watu 567 wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya mauaji, ubakaji, kukutwa na mali za wizi pamoja na dawa za kulevya aina ya bangi.Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Saphia Jongo amesema watu hao wamekamatwa kwenye operesheni inayoendelea. “Operesheni hii ilianza Aprili mwaka huu, ni mwendelezo.” Akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

DC KONGWA: MAHINDI NA KARANGA MWOKOZI KWA WATOTO WADOGO KONGWA

  MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani humo. MAKAMU  Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela,Arusha Prof.Maulilio Kipanyula,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha…

Read More

Safari  kuhamia Dodoma kukamilika mwakani

Dodoma. Safari ya Serikali kuhamia jijini hapa  itakamilika  baada ya mpango kazi maalumu na ujenzi wa awamu ya pili wa majengo ya ofisi za wizara na taasisi utakapohitimishwa mwaka 2025. Aidha, Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wameshahamia huku taasisi zilizohamia zikiwa ni 65.Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge,…

Read More

AMREF TANZANIA YATAMBULISHA MRADI WA AFYA THABITI KUPITIA MKUTANO NA OFISI YA TAMISEMI IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE

Mkurugenzi wa Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume, akifungua mkutano wakati wa Utambulisho wa Mradi wa Huduma na Matibabu ya VVU (Afya Thabiti) unaofadhiliwa na PEPFAR kupitia CDC Tanzania na kutekelezwa na Amref Tanzania kwa kushirikiana na CIHEB Tanzania, TCDC Tanzania, na Afya plus timu za afya za mikoa…

Read More

DARAJA LA RUHEMBE LAWAFUTA MACHOZI WANANCHI WA MIKUMI

Kwa muda mrefu wananchi wa Kata za Ruhembe, Kidodi, Uwembe, Vidunda, Mikumi na Kilolo wameteseka kwa kusafiri umbali mrefu au kuzunguka kwenye mapori ya miwa kufikia huduma za kijamii. Hali hiyo ilitokana na kukosekana kwa kiunganishi madhuhuti cha miundombu ya barabara katika kata hizo. Akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Read More