Admin

Kikosi Yanga chamkosha kipa Tabora United

KIPA wa Tabora United, John Noble amesema Yanga ilistahili kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, akitaja sababu ni ubora na ilikuwa na kikosi cha wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuamua matokeo. Noble amesema Yanga imekuwa imara kila idara kuanzia kipa, mabeki, viungo na washambuliaji, jambo analoona limeinufanikisha kuchukua ubingwa huo. “Mfano kipa wa…

Read More

Vikosi vya Urusi vyadai kutwaa udhibiti ngome ya Ukraine – DW – 20.05.2024

     Watu wawili wamekufa kufuatia shambulizi la Urusi katika miji ya Kherson na Zaporizhia iliyopo kusini mwa Ukraine. Urusi imeendeleza mashambulizi yake huku ikitangaza kuchukua udhibiti kamili katika eneo la Ukraine la Bilohorivka ingawa Ukraine inadai kwamba wanajeshi wake wapo katika hatua nzuri ya mapamabano katika maeneo hayo ya mpakani. Soma zaidi.Mashambulizi ya Urusi yawaua watu…

Read More

Vijana waaswa kushauri panapostahili sio kufanya uchawa

Dodoma. Changamoto za kiuchumi kwa vijana zimetajwa kuwa ni kikwazo kwa vijana wengi kushiriki kwenye chaguzi mbalimbali, huku wakitakiwa kushauri pale panapotakiwa badala ya kung’ang’ania uchawa (tabia ya kujipendekeza). Mbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje ameyasema hayo leo Mei 24, wakati akizungumza kuhusu mdahalo wa vijana utafanyika Mei 25, 2025 unaolenga kuzungumzia miaka mitatu ya…

Read More

Mtibwa Sugar mambo bado magumu

Timu ya Mtibwa Sugar leo imetoka ssuluhu na Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro jambo linalozidisha presha kuhakilisha inasalia kwenye ligi  msimu ujao baada ya kuwa kwenye nafasi ya mwisho katika msimamo. Mtibwa Sugar baada ya mchezo huo uliochezwa kuanzia saa 8:00 mchana imefikisha alama 21…

Read More

Utata kifo cha Rais wa Iran, waziri wake

Iran. Wakati Serikali ya Iran ikithibitisha kufariki dunia kwa Rais wa nchi hiyo, Ebrahim Raisi kwa ajali ya helkopta juzi, maswali yameibuka kuhusu kifo hicho. Raisi alikuwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hossein Amir-Abdollahian ambaye pia amefariki dunia wakati walipokuwa wakirejea kutoka nchi jirani ya Azerbaijan kwenye hafla ya uzinduzi…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATAKA MAOFISA UTUMISHI KUACHA UONEVU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wataalam wa Rasilimali Watu na Utawala Duniani, leo Jumatatu, Mei 20, 2024, ambayo kitaifa imefanyika mkoani…

Read More

Kibabage asimulia alivyojikuta hospitali, mama azungumza

BEKI wa kushoto wa Yanga, Nickson Kibabage amesema kwamba alijikuta hospitali baada ya kupoteza fahamu katika mchezo wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Ihefu SC jana, lakini hakumbuki nini kilitokea kabla ya hapo. Kibabage aliyeanguka mwishoni mwa kipindi cha kwanza cha mchezo huo, mwanzoni mwa msimu huu alikuwa akiichezea Singida Fountain Gate kabla ya…

Read More

Kuelekea kimbunga Ialy, wavuvi mkao wa kula, wengine wapuuzia

Tanga/Lindi. Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikitahadharisha kuhusu kimbunga Ialy kinachotarajiwa kusababisha upepo mkali nchini kesho Jumanne, Mei 21, 2024, wananchi wanaofanya shughuli zao kwenye ukanda wa pwani wa Bahari ya Hindi wameeleza namna walivyojipanga huku wengine wakiendelea na shughuli zao kama kawaida. Juzi, TMA ilitabiri kimbunga hicho kilichopo umbali wa kilomita…

Read More