Admin

Msigwa, Sugu wanavyopishana wakisaka kura

Mbeya. Wakati Mchungaji Peter Msigwa akianza na Mbeya kusaka kura kutetea nafasi ya uenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, mpinzani wake, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ tayari amemaliza mikoa ya Rukwa na Songwe kusaka kura za wajumbe. Uchaguzi wa chama hicho katika kanda hiyo unatarajiwa kufanyika Mei 29, 2024 katika mji wa Makambako mkoani Njombe ambapo tayari…

Read More

WIZARA YA MALIASILI YASIMAMIA VEMA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BEVAC KWA KUFIKIA WAFUGA NYUKI 10,371 BARA NA VISIWANI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MRADI wa kuboresha Mnyororo wa thamani wa ufugaji nyuki (BEVAC) umewafikia wafugaji nyuki wapatao elfu 10,371 kwaajili ya kuwashika mkono katika vitu mbalimbali ikiwemo vifaa na mafunzo ambapo tayari wameshawafikia wafugaji elfu 3,200 na elfu 7000 kuwatambua na kuwakusanya. Hayo yamebainishwa leo Mei 20,2024 na Mfuatiliaji na Tathmini kwenye mradi…

Read More

Prisons yachapwa Sokoine | Mwanaspoti

Uwanja wa Sokoine umeendelea kuwa wa bahati kwa Mashujaa baada ya leo kuikanda mabao 2-1 Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara na kuongeza matumaini ya kubaki kwenye ligi. Mashujaa iliingia uwanjani ikikumbuka kuchapwa mabao 2-0 na wapinzani hao walipokutana katika mzunguko wa kwanza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma na leo wamelipa…

Read More

SHIRIKA LA BIMA CHINA LAWEKA NIA UGHARAMIAJI RELI YA KISASA

Kikao kati ya Ujumbe wa Tanzania uliiongozwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), na Ujumbe kutoka Shirika la Bima la China (China Export and Credit Insurance Corporation (SINOSURE), uliofanyika jijini Dodoma, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano hususani kwenye eneo la ugharamiaji wa miradi ya kimkakati ikiwemo ujenzi wa Reli ya…

Read More

Wafanyakazi Takwimu watakuwa kujiendeleza kielimu

Na Ramadhan Hassan, Dodoma NAIBU Waziri wa Fedha,Hamad Hassan Chande amewataka wafanyakazi wa Ofisi za Taifa za Takwimu (NBS) kufanya kazi kwa maarifa, weledi na bidii kubwa huku akiwataka kujiendeleza kielimu. Kauli hiyo ameitoa leo Mei 20,2024 wakati akizungumza kwenye mkutano wa wafanyakazi wa Ofisi za Takwimu Tanzania Bara (NBS) na Zanzibar ( OCGS) Mkutano…

Read More

Hakuna kitakachoharibika Iran – DW – 20.05.2024

Muda mfupi baada ya Kiongozi wa juu wa kisiasa na kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei kumtangaza kuwa kaimu Rais, Mohammad Mokhber ameongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la mawaziri. Katika kikao hicho Mokhber amewahakikishia raia wa taifa hilo  kuwa hakuna kitakachoharibika baada ya kifo cha Ebrahim Raisi. Soma zaidi: Risala za rambirambi zatolewa kutoka…

Read More