Admin

Wakurugenzi dhibitini mianya ya upotevu wa mapato – Mchengerwa

Na Mwandishi Wetu, Mikumi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka wakurugenzi wote nchini kusimamia kikamilifu ukusanyaji wa mapato ya halmashauri na kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato. Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati alipotembelea Kituo cha Afya Mikumi wilayani Kilosa mkoani Morogoro wakati wa ziara…

Read More

Wananchi walalamika kuchapwa viboko na viongozi wa serikali

Wananchi wa kata ya Kidegembye halmashauri ya wilaya ya Njombe wamelalamikia kitendo cha baadhi ya viongozi wa Serikali ya kata hiyo kuwachapa viboko wanapo kosea jambo ambapo wameiomba Serikali pamoja na Chama kuchukua hatua dhidi ya jambo hilo. Beatrice Msigwa na Luka Mangua ni miongoni mwa wakazi wa Kidegembye wameeleza hayo kwenye mkutano wa kamati…

Read More

Wafanyakazi NBS watakiwa kujiendeleza kielimu

Na Ramadhan Hassan, Dodoma NAIBU Waziri wa Fedha,Hamad Hassan Chande amewataka wafanyakazi wa Ofisi za Taifa za Takwimu (NBS) kufanya kazi kwa maarifa, weledi na bidii kubwa huku akiwataka kujiendeleza kielimu. Kauli hiyo ameitoa leo Mei 20,2024 wakati akizungumza kwenye mkutano wa wafanyakazi wa Ofisi za Takwimu Tanzania Bara (NBS) na Zanzibar ( OCGS) Mkutano…

Read More

Ufunguzi wa kongamano la siku(2) la kitaifa la mtandao wa wanawake katiba uongozi na uchaguzi

Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP katika mchakato kuhimiza  usawa wa kijinsia Tanzania imekutana na wanawake pamoja na wanamtandao katika kongamano la kitaifa la mtandao wa wanawake katiba uongozi na uchaguzi Kujadili masuala mbalimbali wakati ambapo hivi sasa nchi yetu inaelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo hali ya ushiriki wa wanawake katika nafasi za…

Read More

Hii ni album yangu ya mwisho-Harmonize

Mwimbaji Star Harmonize amezungumza na waandishi wa Habari Leo hii kuhusu ujio wa tukio lake kubwa analotarajia kufanya tarehe 25 katika kumbi za Mlimani City ambapo atazindua album yake ya tano aliyoipa jina la Muziki wa Samia akiwa na lengo kupongeza na kusuport harakati za Rais Samia… Album yangu ya mwisho baada ya hii na…

Read More

Serikali kuwafagilia njia wawekezaji sekta ya mawasiliano

  SERIKALI imesema kuwa itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa ajili ya wawekezaji ili kuongeza chachu katika maendeleo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).  Hayo yalibainishwa mwisho mwa wiki iliyopita tarehe 17 Mei 2024, na Waziri wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano, Nape Mnauye wakati akishuhudia makubaliano ya Kampuni ya Towerco of Africa na British…

Read More