SHAYO AAPA KUIFANYA MOSHI KUWA MJINI WA KISASA
Na Pamela Mollel, Moshi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Moshi Mjini kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi, huku mgombea wa ubunge wa jimbo hilo, Ibrahimu Shayo, akiweka wazi ajenda na dira yake ya kuibadilisha Moshi kuwa miongoni mwa majimbo bora zaidi nchini. Akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza, Shayo aliwaomba kumpa ridhaa ya kuwatumikia ili…