
Kamati ya Bunge yaupongeza Mfuko wa WCF kutoa fidia kwa Wafanyakazi
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeutaka Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) uliopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kuogeza jitihada ya kusajili wanachama wapya ili kuhakikisha nguvu kazi ya Taifa inalindwa na fidia inatolewa kwa wafanyakazi wanaopata ugonjwa au ajali inayotokana na…