
Huyu ndiye Rais wa mpito wa Iran
Wakati taratibu za mazishi ya Rais wa Iran, Ebrahim Raisi zikiendelea, Makamu wa Rais Mohammad Mokhber anayetarajiwa kurithi nafasi hiyo kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo, ameongoza mkutano wa dharura wa baraza la mawaziri.Raisi amefariki kwenye ajali ya helikopta jana Mei 19, 2024 akiwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo…