Admin

Huyu ndiye Rais wa mpito wa Iran

Wakati taratibu za mazishi ya Rais wa Iran, Ebrahim Raisi zikiendelea, Makamu wa Rais Mohammad Mokhber anayetarajiwa kurithi nafasi hiyo kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo, ameongoza mkutano wa dharura wa baraza la mawaziri.Raisi amefariki kwenye ajali ya helikopta jana Mei 19, 2024 akiwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo…

Read More

Wananchi waipongeza TANROADS-Morogoro kwa kurejesha miundombinu ya barabara Malinyi

Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali. Wamesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa huo zimesababisha maji kupita juu ya barabara na…

Read More

Rais Iran afariki kwa ajali ya helkopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na maofisa wengine wa serikali wamepatikana wakiwa wamefariki katika eneo la ajali ya helikopta baada ya msako wa saa kadhaa katika eneo lenye ukungu la milima kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea). Vyombo vya habari vya serikali havikutoa…

Read More

TANZIA: RAIS WA IRAN AFARIKI KWA AJALI

RAIS wa Iran Ebrahim Raisi (63,) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya helikopta waliyokuwa wakisafiria kutoka Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo kuanguka AFP Reuters imeripoti. Ebrahim aliambatana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Hussein Amirabdollahian pamoja na viongozi wengine ambao wote wamepoteza maisha katika ajali hiyo wakitokea katika shughuli za kikazi…

Read More

MADIWANI MANISPAA YA TEMEKE WAMEUSHUKURU UONGOZI WA KITUO CHA UHUSIANO WA KIMATAIFA CHA DKT. SALIM AHMED SALIM KWA KUWAPATIA MAFUNZO

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam    Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke Mheshimiwa Arnold Emmanuel Peter ameushukuru Uongozi wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim kwa kutoa mafunzo kwa watendaji na madiwani kuhusu diplomasia ya uchumi na utatuzi wa migogoro.   Mheshimiwa Peter alisema mafunzo haya kwa waheshimiwa Madiwani wa…

Read More

SHAHIDI ADAI RAIS RAISI NA UJUMBE ALIOFUATANA NAO WAMEPOTEZA MAISHA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, Ayatullah Khamenei (kushoto) akiamkiana na Shahidi Seyyid Ebrahim Raisi Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Seyed Ebrahim Raisi na viongozi kadhaa aliofuatana nao wamekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi. Kwa mujibu wa Shirika la…

Read More