Admin

Hivi ndivyo walivyojipanga wagombea ngazi ya kanda Chadema

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye kanda nne ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamesema uchaguzi utakaofanyika kati ya Mei 25 na 29, 2024 hautakuwa mwepesi kwa sababu kwa asilimia kubwa umewakutanisha wagombea waandamizi wa ndani ya chama hicho. Wamesema uchaguzi huo utakuwa na ushindani, tofauti na mwingine wowote awali, kwa…

Read More

Ihefu yafunguka ishu ya Banda

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kushtushwa na taarifa zinazosambaa zikimhusu aliyekuwa nyota wa zamani wa Simba, Mmalawi, Peter Banda za kudai kusainishwa mkataba na timu hiyo kisha kutolipwa fedha za usajili. Banda aliyewahi kuichezea Simba kwa misimu miwili kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 kisha kurudi Nyassa Big Bullets ya kwao Malawi, alidai alisainishwa na Ihefu…

Read More

Kampeni wagombea Chadema zashika kasi kwenye kanda

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye kanda nne ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamesema uchaguzi utakaofanyika kati ya Mei 25 na 29, 2024 hautakuwa mwepesi kwa sababu kwa asilimia kubwa umewakutanisha wagombea waandamizi wa ndani ya chama hicho. Wamesema uchaguzi huo utakuwa na ushindani, tofauti na mwingine wowote awali, kwa…

Read More

Boka, Yanga mambo safi, kigogo atua na ndege binafsi

YANGA nzima jana ilikuwa Arusha ikitafuta tiketi ya kucheza fainali ya tano ya Kombe la Shirikisho (FA) ndani ya miaka tisa, lakini mabosi wake wakirudi tu mjini, watakutana na bilionea mmoja Mkongomani anawasubiri kwa jambo moja tu zito la usajili wa beki wao mpya. Bilionea Jacques Kyabula Katwe yuko nchini tangu jana na alitua na…

Read More

Simba yafuata straika Mzambia, aliyewafunga 2021

SIMBA imefungua mazungumzo na mshambuliaji  Mzambia, Ricky Banda kwa hesabu za kumshusha nchini katika kuboresha safu yao ya ushambuliaji iliyokuwa na kiwango kibovu msimu huu. Banda ambaye anaitumikia Red Arrows ya Zambia, kwa sasa ndiye roho ya Wazambia hao katika kikosi chao ndani ya Ligi ya Zambia na Simba inapiga hesabu za kumshusha nchini wakifungua…

Read More

Ihefu yafungua ishu ya Banda

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kushtushwa na taarifa zinazosambaa zikimhusu aliyekuwa nyota wa zamani wa Simba, Mmalawi, Peter Banda za kudai kusainishwa mkataba na timu hiyo kisha kutolipwa fedha za usajili. Banda aliyewahi kuichezea Simba kwa misimu miwili kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 kisha kurudi Nyassa Big Bullets ya kwao Malawi, alidai alisainishwa na Ihefu…

Read More

Tegete aipa tano Yanga | Mwanaspoti

UBORA wa kikosi cha Yanga kwenye misimu mitatu mfululizo, kimemwibua aliyekuwa straika wa timu hiyo, Jerson Tegete na kuwapa tano mabosi kwa kusajili watu wa kazi. Tegete aliyekuwa mmoja wa nyota wakongwe walioisaidia Pamba ya Mwanza kupanda Ligi Kuu msimu ujao, alisema Yanga ina kikosi kipana na wachezaji wenye uwezo mkubwa, anayeingia na kutoka viwango…

Read More