Admin

Jeshi la Kongo lazuia jaribio la mapinduzi – DW – 19.05.2024

Msemaji wa jeshi hilo Sylvain Ekenge ameyasema hayo katika hotuba yake kupitia televisheni ya taifa. “Jaribio la kuipindua serikali limezuiwa na vikosi vya ulinzi. Jaribio hilo limehusisha Wakongomani na wageni. Watu hao, akiwemo kiongozi wao, hawakupata nafasi ya kusababisha madhara,” ameeleza Sylvain Ekenge. Msemaji huyo wa jeshi hata hivyo hakuweka wazi iwapo watu hao wenye…

Read More

CCM yateua mgombea Kwahani, mrithi wa Jokate

Unguja. Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemteua Khamis Yusuph Mussa kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang’anyiro cha ubunge wa  Kwahani visiwani Zanzibar. Hatua hiyo imetokana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kutangaza uchaguzi mdogo katika jimbo la hilo, baada ya aliyekuwa mbunge wake (CCM), Ahmada Yahya Shaa kufarini dunia Aprili…

Read More

Mtandao wa kuomba ajira Polisi walalamikiwa haufunguki

Dodoma. Wakati siku ya mwisho ya maombi ya kazi kwenye Jeshi la Polisi ni Jumanne ya Mei 21, 2024, waombaji wengi wamelalamikia mtandao wa jeshi hilo kutofunguka. Malalamiko hayo yametolewa na watu mbalimbali huku wengine wakishauri jeshi hilo liruhusu barua za maombi zipelekwe kwa mkono kwa makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya. Malalamiko ya…

Read More

ATM YA WIKI: Fury alivyoendelea kumtajirisha Usky

RIYADH, SAUDI ARABIA: HESHIMA mjini. Vijana wengi wanapenda kusema baada ya kupata mafanikio hasa pesa. Juzi usiku Mei 18, Aleksandr Usyk alimkalisha Tyson Fury pambano la raundi 12, lakini kwa pointi za majaji na unaambiwa pambano hilo limempa pesa za maana. Licha ya ubabe wa Fury lakini Usyk alionyesha ni mwamba kutoka Ukrain na kumtingisha…

Read More

Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi ya kuinua vijana TZ

SERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani Sh 38 bilioni zitakazotekeleza  Mradi wa “Her Resilience, Our Planet Project” ambao unalenga  kuongeza ushiriki wa vijana na  wanawake katika shughuli za kiuchumi.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani …(endelea). Pia unalenga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia teknolojia za kibunifu na kanuni za kilimo endelevu….

Read More