Admin

TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI

Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Morogoro ya kukagua miundombinu ya Barabara ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kumtaka Waziri huyo kufika kusiko fikika ili kutatua kero za wananchi…

Read More

Maokoto ya gofu hadi mazoezini

KWENYE gofu kuna maokoto ya hapa na pale na yamekuwa yakiwasaidia vijana kupunguza makali ya maisha, pia yanaongeza chachu ya nidhamu ya kazi na kujituma ili kuhakikisha viwango vyao vinakua. Mzuka wa gofu kwenye Gazeti la Mwanaspoti, linafichua jinsi mazoezi ya gofu yanavyoweza kumfanya mchezaji akaondoka na kibunda cha maana cha pesa, pia yanavyojenga afya…

Read More

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa kituo cha kupoza umeme cha Chalinze  unaojumuisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka JNHPP hadi Chalinze. Anaripoti Mwandishi wetu, Pwani…(endelea). Hayo yamebainishwa jana Jumamosi na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu…

Read More

Mwamba wenye sura za binadamu wageuka kivutio Same

Same. Unaweza kuwa ni moja ya miamba ya aina yake kuwahi kuonekana nchini Tanzania unaopatikana katika Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, unaoonekana kama taswira ya binadamu. Pamoja na mwamba huo wenye taswira ya mwanaume, pembeni yake, kushoto na kulia, zipo taswira mbili za wanawake wanaoonekana ni wajauzito. Yohana Ramadhani (70), mkazi wa Kijiji cha Kambeni,…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WANAOTEKELEZA AFUA ZA WANAWAKE

-Awataka watumie taarifa za na takwimu za sensa kuandaa mipango yao WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza afua mbalimbali za wanawake watumie taarifa na takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika kuandaa mipango na mikakati ya uwezeshaji wa wanawake nchini. Mbali na hayo pia Mheshimiwa Majaliwa amewasisitiza wadau…

Read More

Fury alivyoendelea kumtajirisha Usky | Mwanaspoti

RIYADH, SAUDI ARABIA: HESHIMA mjini. Vijana wengi wanapenda kusema baada ya kupata mafanikio hasa pesa. Juzi usiku Mei 18, Aleksandr Usyk alimkalisha Tyson Fury pambano la raundi 12, lakini kwa pointi za majaji na unaambiwa pambano hilo limempa pesa za maana. Licha ya ubabe wa Fury lakini Usyk alionyesha ni mwamba kutoka Ukrain na kumtingisha…

Read More

MFUKO WA WCF WATAKIWA KUONGEZA WIGO WA WANACHAMA

Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe Mhe. Fatuma Toufiq (katikati) akieleza jambo wakati wa Kikao cha kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya Fidia kwa Wafanyakazi, katika ofisi za WCF jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma. Kushoto ni Mkurugenzi…

Read More

Wanandoa watofautishe kupenda na kutaka

Kila mtu humpenda mwingine. Vivyo hivyo, anaweza kumtaka au kutakiwa na mwingine. Hakuna asiyejua kupenda ingawa si wote wanaopenda ifaavyo na inavyotakiwa. Muhimu ni kujua kupenda na kutaka ni vitu viwili tofauti. Mfano, unaweza kumpenda mtu kiasi cha kujisikia vibaya usipomuona. Pia, unaweza kumtaka mtu ukadhani unampenda. Hata hivyo, kupenda kwa namna hii kunaweza kuwa…

Read More

Vituko, karaha mikataba ya nyumba za kupanga

Dar es Salaam. Umewahi kupangiwa mtindo wa maisha kwa masharti yaliyomo kwenye  mkataba wa nyumba ya kupanga unayoishi au uliyowahi kuishi? Swali hili linaakisi uhalisia wa karaha, vituko na maajabu ya masharti yaliyopo kwenye mikataba ya nyumba za kupanga yanayowakumba baadhi ya Watanzania. Masharti hayo kwa mujibu wa baadhi ya wapangaji, yanalazimu kubadili mtindo wa…

Read More