Admin

WIZARA YA MADINI, WAFANYABIASHARA WA BARUTI WAJADILI CHANGAMOTO

DODOMA: Kamishna wa Madini Dk Abdulrahman Mwanga ameongoza kikao kazi cha wataalam wa Wizara, Tume ya Madini na wawakilishi wa Umoja Wafanyabiashara wa Baruti Tanzania (TEDA) kilicholenga kujadili changamoto zinazohusiana na biashara ya baruti nchini. Kikao hicho kilichofanyika leo Mei 18, 2024 katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma, kimetumika kupokea changamoto, maoni, mapendekezo na ushauri…

Read More

Vyakula hivi vitakusaidia kupona majeraha kwa haraka

Dar es Salaam. Katika ufanyaji wa shughuli za kila siku mtu huweza kuumia kutakapomsababishia majeraha mbalimbali katika mwili. Kwa mujibu wa tovuti ya Wikipedia, majeraha ni vidonda vitokanavyo na ajali ya ghafla ambayo husababisha ngozi kukatwa, kuchomwa au kudhurika kwa namna nyingine. Inapotokea mtu amepata majeraha katika mwili hufanya jitihada mbalimbali zitakazomwezesha kupona kwa haraka,…

Read More

Balile aukwaa uenyekiti wahariri Afrika Mashariki

Jumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka 2024 – 2025. Pia imemchagua Fitihawok Yewondwossn, kutoka Jukwaa la Wahariri Ethiopia kuwa Makamu wa Rais kwa kipindi hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Balile amechaguliwa baada ya kufanyika Mkutano Mkuu wa…

Read More

Sababu Songwe kuongoza mimba za utotoni

Songwe/Katavi. Mimba za utotoni ni tatizo kubwa linaloathiri jamii nyingi, hasa katika nchi zinazoendelea. Hali hii inahusisha wasichana wenye umri chini ya miaka 18 na ina athari mbaya kwa afya, elimu na maisha yao kwa ujumla. Makala haya yanajadili sababu za mimba za utotoni, athari zake na hatua zinazoweza kuchukuliwa ili kupunguza tatizo hili katika…

Read More

TRA yapiga ‘stop’ magari kuegeshwa vituo vya mafuta

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imepiga marufuku magari yanayopita nchini kuelekea nchi jirani kuegeshwa katika vituo vya mafuta na maeneo mengine ambayo hayajaidhinishwa, ikieleza imebaini njama ya kukwepa kodi. Hata hivyo, Chama cha Wasafirishaji Tanzania (TAT) na Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tamstoa) kwa pamoja vimesema vitatoa tamko. Taarifa kwa umma…

Read More