Admin

Sido yaja na mwarobaini kukabili sumu kuvu

Lindi. Vijana zaidi ya 50 wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa vihenge ili kukabiliana na sumu kuvu. Mafunzo hayo yametolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido)Mkoa wa Lindi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Mei18,2024 wakati wa kufunga mafunzo  hayo, Mratibu wa Kuendeleza Teknolojia,  Mhandisi Abraham Malay amesema mafunzo hayo yamelenga  kuwasaidia vijana kukabiliana na…

Read More

GEAY: Nini Boston Marathon! Ni zamu ya Olimpiki

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay alikuwa ni miongoni mwa nyota ambao walipewa nafasi kubwa ya kushinda. Hata hivyo, Geay ambaye alifanya vizuri mara mbili katika mbio hizo akimaliza wa nne mwaka 2022 kwa muda wa…

Read More

GEAY: Nini Boston Marathon? Sasa ni zamu ya Olimpiki

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay alikuwa ni miongoni mwa nyota ambao walipewa nafasi kubwa ya kushinda. Hata hivyo, Geay ambaye alifanya vizuri mara mbili katika mbio hizo akimaliza wa nne mwaka 2022 kwa muda wa…

Read More

Faru waliotoweka kwa miaka 30 kurejeshwa Hifadhi ya Mikumi

Morogoro. Baada ya faru weusi kutoweka kwa zaidi ya miaka 30 iliyopita kutokana na kuuawa na majangili, Serikali kupitia Hifadhi za Taifa (Tanapa), imeanza mchakato wa kuwarejesha katika Hifadhi ya Mikumi. Faru weusi wako kwenye orodha ya wanyama walio hatarini kutoweka duniani huku Tanzania kupitia mpango wa Taifa wa miaka mitano wa uhifadhi wa faru…

Read More

Majaliwa kuongoza kongamano wanahabari mitandao ya kijamii

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya washiriki 500 wanatarajia kushiriki katika kongamano la wanahabari wa mitandao ya kijamii litakalofunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Kongamano hilo lililoandaliwa kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Mitandao ya Kijamii Tanzania (Jumikita) na Shirikisho la Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso) litafanyika Mei 20,2024 jijini Dar es…

Read More

Wakazi Handeni wataka bei rafiki gesi ya kupikia

Tanga. Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wameishauri Serikali kuangalia uwezekano wa kuweka bei rafiki ya kubadilisha mitungi ya gesi ya kupikia itakayosaidia hata wenye kipato kidogo kuimudu. Wakizungumza kwenye hafla ya kugawa majiko banifu na mitungi ya gesi kwa wananchi wa eneo hilo iliyofadhiliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati…

Read More