Admin

Namba za Azam siku 108 bila Dube

ZIMETIMIA siku 108 ambazo ni sawa na miezi mitatu bila uwepo wa mshambuliaji Prince Dube ndani ya kikosi cha Azam FC, lakini kinachofurahisha ni Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuendelea kukimbiza tuzo ya ufungaji bora ya Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 15 sawa na Aziz KI wa Yanga. Mara ya mwisho kwa Dube kuitumikia Azam…

Read More

Ken Gold yataka mastaa wa Ligi Kuu

Ken Gold imesema itakuwa makini kufuatilia mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) ili kupata wachezaji watakaojumuishwa katika kikosi cha timu hiyo msimu ujao. Pia imesisitiza kuwa siyo kwa timu kubwa za Simba na Yanga, bali hata nyingine zinazocheza Ligi Kuu ikiwamo KMC, Coastal Union, Prisons na Ihefu itazifuatilia ili kuhakikisha…

Read More

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

WAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na rasilimali zao licha ya uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumpa onyo juu ya kutokana na malalamiko ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi kuwa alitoa kauli za kichochezi, zisizo na staha na zisizozingatia taaluma ya uwakili. Anaripoti Faki Sosi… (endelea). Mwabukusi amepewa…

Read More

Wanariadha wa Olimpiki wang’ara Africa Day Marathon

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Wanariadha wa maarufu Tanzania na wale walifuzu kushiriki michezo ya Olimpiki, wameng’ara na kubeba katika mbio za Africa Day Marathon zilizofanyika leo Mei 18, 2024 jijini Dar es Salaam. Wanariadha hao ni Alphonce Simbu (JWTZ)aliyebuka mshindi wa kwanza katika mbio za kilomita 15, akikimbia kwa dakika 42:56, wa pili ni…

Read More

Frank Komba na rekodi ya miaka kumi beji ya Fifa

Jina la Frank Komba sio geni na linafahamika sana na wadau wa mpira wa miguu kutokana na kile ambacho amekuwa akiufanyia mchezo huo. Huyu ni mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania ambaye pia ni mtumishi wa Jeshi la Polisi huku pia akiwa Wakili kitaaluma. Mwanzoni mwa mwaka huu, Komba aliandika rekodi moja ya kibabe ambayo…

Read More