Admin

NYUMA YA PAZIA: Mbappe na karatasi zake za ushahidi, kuna maswali?

“..USHAHIDI upi mwingine unahitaji?” Hakusema mdomoni. Moyo wake ulikuwa unaongea. Asingeweza kutamka hivyo mdomoni wakati akirekodi video yake ya kuaga. Kylian Mbappe. Amewaaga PSG mapema wiki hii. Anaondoka zake PSG. Lilikuwa suala la muda tu. Alionekana mtulivu wakati akiaga. Mara ya mwisho serikali ya Ufaransa iliingilia kati kuondoka kwake. Alipoamua kubaki ikawa sherehe kwa Wafaransa….

Read More

Sendiga akemea watoto kunyimwa fursa ya elimu

Simanjiro. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amekemea kitendo cha wazazi na walezi wanaowazuia watoto wao wa kiume kwenda shule, badala yake kuwageuza wachungaji wa mifugo.  Amesema nyakati hizi si za wazazi kupuuzia elimu kwa watoto wao badala yake wawe mstari wa mbele kuwahimiza kuipenda. Sendiga amesema hata watoto wa kike nao  wananyimwa fursa…

Read More

JELLAH: Nahodha Stars aliyeteseka kwa miaka 20 kitandani

NGULI wa zamani wa Taifa Stars, Jella Mtagwa alifariki dunia juzi jijini Dar es Salaam baada ya kuteseka kitandani kwa miaka 20. Tunarudia sehemu ya mahojiano yake na Mwanaspoti akiwa kitandani nyumbani kwake Mei 27, 2019. “Acheni Mungu aitwe Mungu.” Hiyo ni kauli ya aliyekuwa nahodha wa Taifa Stars, Mtagwa iliyoshiriki fainali za Kombe la…

Read More

RC Mrindoko acharuka fedha za makandarasi

Katavi. Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote tano kulipa madeni wanayodaiwa na makandarasa wanaotekeleza miradi ya maendeleo katika halmashauri zao. Kauli hiyo ameitoa leo Ijumaa Mei 17, 2024  wakati akisikiliza kero za wananchi baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wakidai kutolipwa fedha kutokana na kazi walizofanya kwenye…

Read More

JKT wababe, Tausi wanapiga hao

BAADA ya JKT kuifunga Vijana ‘City Bulls’ kwa pointi 70-55, kocha wa timu hiyo, Chris Weba amesema pointi 25-13 walizopata katika robo ya tatu, ndizo zilizowapa ushindi. Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa na mashabiki wengi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam, ulipigwa kwenye Uwanja wa Donbosco Oster bay. Akiuzungumzia mchezo huo, alisema ulikuwa…

Read More