Admin

Ethiopia yafungua njia ujenzi wa ubalozi Dodoma

Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Ethiopia kwa kuweka historia kwa kuwa nchi ya kwanza kujenga majengo ya Ofisi na Makazi ya Balozi katika Mji wa Serikali Dodoma na kutoa wito kwa nchi nyingine kuiga mfano huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa…

Read More

TANZANIA KUWA MWENYEJI KILELE CHA SHINDANO LA KWANZA LA VIJANA AFRIKA KWENYE MASUALA YA AKILI MNEMBE NA ROBOTI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Tanzania kuwa mwenyeji wa kilele cha shindano la kwanza la vijana la afrika kwenye masuala ya akili mnembe na roboti(The african Youth in Artificial Intelligence and Robotics Competition). Hayo ameyaeleza Jijini Dodoma leo na Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mohammed Khamis Abdula alipokuwa akizungumza na waandishi…

Read More

Watoto Kigoma wanogewa na kikapu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Kigoma, Aq Qassim Anasi amesema idadi ya watoto wanaojifunza mchezo huo imeongezeka. Akizungumza na Mwanaspoti kwa njia ya simu kutoka Kigoima, katibu huyo alisema mafunzo hayo yamekuwa yakitolewa mara mbili kwa wiki, Jumamosi na Jumapili na wazazi wamekuwa wakiwaruhusu watoto kuja kushiriki katika Uwanja wa…

Read More

NBC yazindua bima ya afya kwa wakulima

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima ya Afya kwa wakulima nchi nzima ikilenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hiyo muhimu kwa kundi hilo.Hatua hiyo inatajwa kuwa itasaidia kuimarisha sekta ya afya ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika ukuaji wa kilimo nchini. Anaripoti…

Read More

Rais Mwinyi aahidi ushirikiano kukuza utalii Arusha

Arusha. Zanzibar imeeleza nia ya kushirikiana na Mkoa wa Arusha kuimarisha uwekezaji katika sekta ya utalii ambayo imekuwa ikiimarika na kuleta mchango mkubwa wa kiuchumi visiwani humo. Akizungumza katika semina ya wanahisa wa Benki ya CRDB leo Mei 17, 2024, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema kuna uhusiano wa karibu kati ya yanayoendelea Zanzibar…

Read More

ZINGATIA HAYA UNAPOCHEZA KASINO| MCHEZO WA FRUIT O RAMA

* “Fruit O Rama ni mchezo wa sloti unaotolewa na mtengenezaji wa michezo Synot. Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, utakutana na aina mbalimbali za bonasi za kasino. Jokeri, Respin Bonus, na pia kuna bonasi ya kamari.” KARIBU kwenye burudani ya kasino ya mtandaoni isiyozuilika yenye kutawaliwa na alama za matunda! Ukipanga alama hizi…

Read More