Admin

Kenya yakabiliwa na kiunzi kupeleka polisi Haiti – DW – 17.05.2024

Chama cha kisiasa cha Muungano wa Thirdway Alliance Kenya na wanachama wake wawili waliwasilisha malalamishi hayo siku ya Alhamisi (16.05.2024) , wakisema kwamba serikali imepuuza amri ya mahakama iliyotolewa mwezi Januari. Mahakama ilisema hatua ya kupelekwa polisi wa Kenya nchini Haiti inakiuka katiba na ni kinyume cha sheria. Waliowasilisha hoja hiyo mahakamani hapo Alhamisi, wamesema…

Read More

Utalii wa Zanzibar waongeza watalii Hifadhi ya Mikumi

Morogoro. Kukua kwa sekta ya utalii Zanzibar, imekuwa neema kwa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi baada ya kuongezeka kwa idadi kubwa ya watalii katika hifadhi hiyo iliyopo Kusini mwa Tanzania. Hiyo imebainika baada ya watalii wengi wa kimataifa wanaotembelea Mikumi iliyoko mkoani Morogoro, kutokea visiwani humo. Watalii hao ambao hufika kutembelea Visiwa vya Zanzibar, huunganisha…

Read More

MAMBO MAPYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2024 Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akifafanua jambo wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha…

Read More

Kenya yakabiliwa na kiunzi kipya cha kutuma polisi Haiti – DW – 17.05.2024

Chama cha kisiasa cha Muungano wa Thirdway Alliance Kenya na wanachama wake wawili waliwasilisha malalamishi hayo siku ya Alhamisi (16.05.2024) , wakisema kwamba serikali imepuuza amri ya mahakama iliyotolewa mwezi Januari. Mahakama ilisema hatua ya kupelekwa polisi wa Kenya nchini Haiti inakiuka katiba na ni kinyume cha sheria. Waliowasilisha hoja hiyo mahakamani hapo Alhamisi, wamesema…

Read More

TPDC yaingia mkataba mwingine usambazaji gesi asilia

Dar es Salaam. Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) limesaini mkataba wa makubaliano ya uwezeshaji wa kufanya upembuzi yakinifu wa ujenzi na uendelezaji wa mradi mdogo wa gesi kimiminika (Mini LNG), itakayosambazwa mbali na maeneo yaliyopita mabomba ya gesi. Makubaliano ya ubia uliyoingiwa leo Mei 17, 2024  kati ya TPDC, Rosetta na Africa 50…

Read More

Haya hapa majina walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali CHADEMA

CHAGUZI wa kanda za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zimeendelea kupamba moto baada ya Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema kutangaza majina ya wagombea walioteuliwa kuwania nafasi mbalimbali. Katika uchaguzi wa safari hii Chadema imeendesha usaili maalum kwa wagombea katika kanda nne zinazotarajiwa kufanya uchaguzi hivi karibuni. Hayo yanajiri ikiwa…

Read More

Ujerumani yatakiwa kuimarisha sera za ulinzi wa mazingira – DW – 17.05.2024

Serikali ya Ujerumani imetakiwa kuimarisha mipango yake ya ulinzi wa mazingira kutokana na hatua zilizoko hadi sasa kuonesha ufanisi kidogo wa kufanikisha malengo ya nchi ya mazingira. Soma: Ujerumani: Itashirikiana na Tanzania katika utunzaji wa mazingira. Uamuzi huo umetolewa na mahakama ya juu ya Berlin-Brandenburg, ambayo imeunga mkono kesi mbili zilizowasilishwa na shirika la ulinzi wa…

Read More