Admin

Mashauri ya ndoa yaongezeka | Mwananchi

Dodoma. Mashauri yanayohusu ndoa yaliyoshughulikiwa na kupitia Baraza la Usuluhishi la Ndoa yameongezeka kwa asilimia 8.3.  Hayo yamesemwa leo Mei 17,2024 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2024/25. Bajeti hiyo imeomba Bunge kuwaidhinishia Sh67.90 bilioni…

Read More

DAR City kwenye TOP 10 ya Vilabu vinavyofatiliwa zaidi

Club ya Dar City inaongoza Ligi ya mpira wa kikapu Dar es Salaam, maarufu kama Basketbol Daresalaam Lig, ikiwa na pointi 29. Wanafuatiwa na timu ya Outsiders ambao pia wana pointi 29. Dar City pia ni timu ya Kikapu inayoongoza kwa kufuatiliwa kwenye mtandao wa Instagram kutokaTanzania. Dar City imeshika nafasi ya 10 katika orodha…

Read More

Wizara ya Mambo ya ndani yafanya kikao Maalumu na Viongozi wa Dini kujua namna ya kukabiliana na matukio ya uhalifu

Katika kukabiliana na matukio ya uhalifu yanayotokea katika jamii tunayoishi Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefanya Kikao Maalumu na Viongozi wa Dini lengo ikiwa kuhusisha kundi hilo katika kudhibiti matukio ya mauaji,mmomonyoko wa maadili,matumizi ya dawa za kulevya na matukio yanayoweza kuvuruga amani ya nchi. Akizungumza katika Kikao hicho kilichofanyika Makao…

Read More

VIDEO: Dakika 90 za hekaheka kufungwa Barabara ya Kilwa

Dar es Salaam. Ni hekaheka katika Barabara ya Kilwa inayounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini, kutokana na wakazi wa Mtaa wa Kimbangulile kuifunga kwa takribani dakika 90 wakidai kuchoshwa na ajali zinazotokea kila uchwao. Hatua hiyo imetokana na ajali iliyotokea jioni ya jana Mei 16, 2024 iliyosababisha vifo vya watu wanne…

Read More

VIDEO: Dakika 90 za hekaheka Barabara ya Kilwa

Dar es Salaam. Ni hekaheka katika Barabara ya Kilwa inayounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini, kutokana na wakazi wa Mtaa wa Kimbangulile kuifunga kwa takribani dakika 90 wakidai kuchoshwa na ajali zinazotokea kila uchwao. Hatua hiyo imetokana na ajali iliyotokea jioni ya jana Mei 16, 2024 iliyosababisha vifo vya watu wanne…

Read More

TANZANIA YAHIMIZA WAWEKEZAJI UMOJA WA ULAYA KUSHIRIKI KATIKA FURSA ZA UWEKEZAJI KWENYE MADINI YA KIMKAKATI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), jana Mei 16 ameshiriki na kuchangia katika Mkutano wa Jumuiya ya Ulaya (EU) unaojadili upatikanaji wa Madini adimu (Critical Minerals ) huko Brussels nchini Ubelgiji. Akichangia kwenye Mkutano huo, Prof. Mkumbo amesema kuwa Tanzania ina sehemu muhimu katika kufanikisha agenda ya…

Read More