
EXIM Bank, Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania wapanda miti na kuchangisha damu – MWANAHARAKATI MZALENDO
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa benki ya EXIM, Stanley Kafu (aliyeshikilia kipaza sauti), akitoa maelezo kwa Dkt. Dotto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati (wa tatu kutoka kushoto), kuhusu mipango ya EXIM alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Msalaba Mwekundu Duniani yaliyofanyika tarehe 11 Mwezi…