Admin

Ukisambaza picha za ajali Mbeya kukiona cha moto

Mbeya. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya, linakusudia kutumia sheria dhidi ya wananchi wanaokimbilia kupiga picha za matukio ya ajali na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii, jambo linalozua taharuki katika jamii. Hatua hiyo imekuja kufuatia tabia ya baadhi ya wananchi kuanza kupiga picha na kuzisambaza mitandaoni pindi ajali zinapotokea, badala ya kusaidia uokoaji…

Read More

BIL 97.178 KUTUMIKA UJENZI BARABARA YA IFAKARA-MBINGU

Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5 utatumia Bilioni 97.178 Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imebainisha kuwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Henan Highway Engineering Group Co. Ltd ya kichina imepewa zabuni ya kujenga barabara ya Ifakara-Kihansi yenye urefu wa…

Read More

Picha:Waziri Nape alivyowasili Bungeni kuwasilisha Bajeti Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 2024/25.

Ni mei 16, 2024 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye alivyowasili bungeni jijini Dodoma kwaajili ya kuwasilisha Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 2024/25.   The post Picha:Waziri Nape alivyowasili Bungeni kuwasilisha Bajeti Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 2024/25….

Read More

Wapalestina 600,000 wamekimbia kutoka Rafah ndani ya siku 10 :UNRWA:

Takriban Wapalestina 600,000 wamefurushwa kutoka mji wa kusini mwa Gaza, Rafah, tangu kuimarika kwa operesheni za kijeshi za Israel katika mji huo siku kumi zilizopita, UNRWA ilionya jana. Katika chapisho la X, shirika hilo lilisema: “Miaka 76 baada ya #Nakba, Wapalestina wanaendelea kuhamishwa kwa nguvu.” “Katika #GazaStrip, watu 600k wamekimbia Rafah tangu operesheni za kijeshi…

Read More

Mbinu mpya za ukeketaji zamulikwa

Morogoro. Wakati Serikali ikipambana na vitendo vya ukekektaji nchini, baadhi ya jamii zinazoendeleza mila hizo zimekuja na mbinu mpya ya kutumia dawa aina ya Vicks, ndulandula pamoja na majivu ambayo yamekuwa yakiondoa taratibu sehemu inayotakiwa kukeketwa bila kuweka jeraha. Hayo yamebainishwa jana Mei 15, 2024 na Joshua Ntandu Ofisa Mtendaji Mkuu wa shirika lisilokuwa na…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Geita Gold tuwaweke katika maombi

BAADA ya kutoka sare ya bila kufungana na Coastal Union, haraka nikakimbilia msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ili nione Geita Gold iko nafasi ya ngapi na ina pointi ngapi. Matokeo hayo kumbe hayakuwa na faida kubwa kwa sababu yaliifanya timu hiyo kubakia katika nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya pointi 24….

Read More