Admin

Tume Huru ya Uchaguzi mguu sawa uchaguzi mkuu 2025

Unguja. Wakati uzinduzi wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura ukitarajiwa kufanyika Julai Mosi, 2024, Sh418 bilioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya kazi hiyo. Uzinduzi huo utafanyika mkoani Kigoma ambapo mgeni rasmi atakuwa  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Mei 15, 2024, mjini Unguja,  Mwenyekiti wa Tume Huru ya…

Read More

MR MWANYA ATEMBELEA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA

Msanii mkubwa na Maarufu anayejihusisha na sanaa ya uchekeshaji hapa Nchini almaarufu Mr Mwanya ametembelea Kijiji cha Nguruwe kilichopo Zamahero Jijini Dodoma kwa ajili ya kujionea uwekezaji mkubwa unaofanywa na Mkurugenzi wa Kijiji cha Nguruwe Project Simon Mkondya Maarufu kwa jina la Mr Manguruwe. Msanii huyo pia ameweka wazi juu ya uwekezaji alioufanya katika eneo…

Read More

Simbu kuungana na mabalozi mbio za African Day Marathon

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mwanariadha Felix Simbu atakuwa miongoni mwa washiriki wa mbio za maadhimisho ya Siku ya Afrika ‘African Day Marathon’, akiungana na mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaowakilisha nchi zao hapa nchini. Mbio hizo zilizoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Umoja wa Mabalozi nchini (ADG), zinatarajia kufanyika…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA UNHCR NA UNEP

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Nchni (UNHCR) Bi. Mahoua Parum’s pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bi. Clara Makenya Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 15 Mei…

Read More

Majeruhi wanne ajali iliyoua Saba morogoro waruhusiwa kutoka hospitali

Majeruhi wanne kati ya watano waliokuwa wanatibiwa katika hospitali ya Wilaya Mvomero waliotokana na ajali iliyoua watu saba wameruhusiwa kutoka hospitali huku mmoja akipelekwa hospitali ya Rufaa Mkoa Morogoro kwa matibabu zaidi. Akizungumza na ayo tvna Millard ayo .com Mganga mfawidhi hospitali ya Wilaya Mvomero Dokta Frances Paul amesema majeruhi hao wanne walitibiwa na kuruhusiwa…

Read More

Atupwa jela miezi sita kwa kufunga ofisi za kijiji

Simanjiro. Mkazi wa Kijiji cha Okutu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Melkzedek Moikani (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kufanya fujo na kufunga ofisi ya kijiji kwa kufuli. Imeelezwa kuwa kitendo hicho kilizua hofu kwa wananchi waliofuata huduma katika ofisi hiyo, lakini pia kilikwamisha shughuli za maendeleo. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatano Mei…

Read More