Admin

THE DESK & CHAIR YAWATUA NDOO KICHWANI AKINAMAMA KITONGOSIMA KWA MILIONI 20

NA BALTAZAR MASHAKA,MAGU TAASISI ya The Desk & Chair Foundation,imekamilisha na kukabidhi mradi mkubwa wa kisima cha maji katika Kijiji cha Kitongosima wilayani Magu,utakaohudumia zaidi ya wananchi 2,000 wa kijiji hicho na wanafunzi 840 wa Shule ya Msingi Simakitongo. Pia mradi huo uliogharimu sh.milioni 20,utawanufaisha watumishi na watoto 75 wenye migongo wazi na vichwa vikubwa…

Read More

Nabi: Yanga hii itachukua sana Bara 

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi ametoa tahadhari kwa timu zingine Ligi Kuu Bara kutokana na moto ilionao Yanga akisema kama hazitakaza, basi ubingwa zitausikia katika bomba kwa miaka mingi ijayo. Nabi ambaye msimu uliopita aliumaliza kwa mafanikio akiwa na kikosi hicho kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirikisho (FA), Ngao…

Read More

Dkt.Biteko ateta na balozi wa Marekani nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Dkt. Michael Battle Sr. kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ikiwamo matumizi ya vyanzo mbalimbali vya nishati ya umeme Mazungumzo hayo yamefanyika Mei 14, 2024 katika Ofisi ndogo za Wizara, Jijini Dar es Salaam, ambapo viongozi…

Read More

HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI- DED SELENDA

HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule za msingi na sekondari. Kutokana na mahitaji ya madawati hayo inahitajika kiasi cha sh.milioni 350 ili kuondokana na tatizo hilo. Akitoa ufafanuzi huo katika baraza la madiwani, utekelezaji wa kata kwa kata kipindi cha miezi mitatu January hadi…

Read More

Usafiri wa anga ni kichocheo cha ukuaji uchumi-DK.Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao ni kichochea kikuu cha ukuaji wa uchumi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Kongamano la sita la usafiri wa anga Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Hoteli…

Read More

Mapigano ya vijiji jirani Mara yamkera RC Mtambi

Serengeti. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amemwagiza Kamanda wa Polisi Mkoa huo kuwakamata watu wote waliohusika kwenye tukio lililosababisha watu wanne kujeruhiwa na nyumba kadhaa kubomolewa na zingine kuchomwa moto katika Kijiji cha Mekomariro Wilaya ya Bunda na Remng’orori wilayani Serengeti. Tukio hilo lilitokea Mei 12, 2024 asubuhi baada ya watu wanaodaiwa kutoka…

Read More

MBINGA VIJIJINI TUTAENDELEA KUTENGA FEDHA KUTEKELEZA MIRADI YENYE TIJA KWA WANANCHI – HAULE

Na Stephano Mango, Mbinga MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Desderius Haule amebainisha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga itaendelea kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya ukamilishaji na utekelezaji wa miradi mipya itayokwenda kuleta tija kwa wananchi. Haule amebainisha jana akijibu swali la Diwani wa Viti maalum Kata ya Kihangimahuka Leonora…

Read More

Tuzo za wanamichezo bora BMT zaiva

WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), limeandaa tuzo za wanamichezo bora mwaka 2023 zinazotarajiwa kufanyika Juni 9, 2024 kwenye Ukumbi wa Super Dome uliopo Masaki, Dar es Salaam. Tuzo hizo ni mara ya pili kufanyika baada ya mwaka jana, Machi 17, 2023 kwenye Ukumbi wa Mlimani City. Mwenyekiti wa BMT,…

Read More