
Nape aeleza Serikali inavyoshughulikia uhalifu mitandaoni
Dodoma. Serikali imesema uhalifu mtandaoni umeendelea kupungua kutokana na hatua zinazochukuliwa kukabiliana nao. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hayo bungeni leo Mei 15, 2024 akijibu swali la Mbunge wa Buhigwe, Kavejuru Felix. Mbunge huyo amehoji Serikali ina mikakati gani ya kukomesha wizi wa mtandaoni. Akijibu swali hilo, Nape amesema…