Admin

Nape aeleza Serikali inavyoshughulikia uhalifu mitandaoni 

Dodoma. Serikali imesema uhalifu mtandaoni umeendelea kupungua kutokana na hatua zinazochukuliwa kukabiliana nao. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hayo bungeni leo Mei 15, 2024 akijibu swali la Mbunge wa Buhigwe, Kavejuru Felix. Mbunge huyo amehoji Serikali ina mikakati gani ya kukomesha wizi wa mtandaoni. Akijibu swali hilo, Nape amesema…

Read More

Gamondi: Nyie subirini, bado moja

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema walistahili kutwaa taji la Ligi Kuu, huku akisisitiza kwamba kituo kinachofuata ni Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Yanga wametwaa ubingwa wakiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha pointi 71 ambazo washindani wake Azam FC na Simba hata wakishinda mechi zao zote zilizobaki hawawezi kufikia. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

DKT. KIDA, NA MKUU WA IDARA YA AFRIKA MASHARIKI YA UHOLANZI WAKUTANA NA KUJADILI SHUGHULI ZA UBORESHAJI WA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

The Hague, Uholanzi. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Idara ya Afrika Mashariki wa Uholanzi, Bi. Sanne Lowenhardt pamoja na Mshauri Maalum kuhusu Africa wa Wizara hiyo Bw. Melle Leenstra kuhusu uboreshaji wa Mazingira ya Uwekezaji na Biashara. Katika mazungumzo yao, Dkt. Kida…

Read More

TARI yatoa mafunzo ya kanuni bora za kilimo cha muhogo

Watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia vituo vya utafiti vya Ukiriguru (Mwanza) na Tumbi (Tabora) kwa kushirikiana na watafiti kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilimo ukanda wa Kitropiki (IITA) wametoa mafunzo kwa baadhi ya wakulima wa mkoa wa Tabora juu ya kanuni bora za kilimo cha zao la muhogo….

Read More

Mahamat Deby anavyobeba mustakabali wa Chad

Kishindo cha Mei 10, mwaka huu kimewaacha wananchi wa Chad midomo wazi baada ya kutangazwa kwa Mahamat Idriss Deby Itno, maarufu kama Mahamat Kaka kuwa mshindi wa uchaguzi uliofanyika mapema mwezi huu. Matokeo ya uchaguzi huo yalitarajiwa kutangazwa Mei 21, hata hivyo yametangazwa mapema kuliko ilivyotarajiwa, jambo ambalo limeibua maswali na kuwafanya wananchi kuingia barabarani…

Read More

Mambo matano yaliyoipa Yanga ubingwa Bara 

KILICHOBAKI kwa Yanga ni sherehe tu za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ambao imeutwaa Mei 13 baada ya kuifunga Mtibwa Sugar mabao 3-1, huku pia ikiwa na hesabu za kubeba Kombe la Shirikisho (FA) ambalo ipo katika nusu fainali itakayocheza Mei 19 dhidi ya Ihefu. Mashabiki wa Yanga kwa sasa wanatembea vifua mbele huku wakiwatambia…

Read More

Wapalestina na kumbukumbu ya miaka 76 ya Nakba – DW – 15.05.2024

Nakba, neno la Kiarabu linalomaanisha janga, ndilo lililotumika kuelezea masaibu ya Wapalestina kufurushwa kwa nguvu katika makaazi yao. Wapalestina 700,000 walifurushwa majumbani mwao wakati wa vita vya Israel na Waarabu mwaka 1948, vilivyofungua njia ya kuundwa rasmi dola la Israel. Baada ya vita hivyo, Israel ilikataa Wapalestina kurejea makwao, kwasababu hatua hiyo ingesababisha Wapalestina kuwa…

Read More