Admin

Cheki namba za Yanga zilivyoitesa Simba

ACHANA na Simba kukosa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo kuanzia msimu wa 2021/22, 2022/23 na msimu huu, lakini wana Msimbazi wamepitia nyakati ngumu zaidi kuanzia pointi hadi mabao ya kufunga mbele ya mabingwa, Yanga huku namba na ufanisi uwanjani pia vikiwa mtihani kwa Simba. Yanga imetwaa taji la 30 na la tatu mfululizo msimu…

Read More

DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA KUBORESHWA JULAI MWAKA HUU

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja, Zanzibar, leo tarehe 15 Mei, 2024, ambapo ametangaza kuwa uzinduzi wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika tarehe 01 Julai, 2024. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji…

Read More

Serikali yaongeza siku tano za kuomba kazi Polisi

Dodoma. Serikali imeongeza siku tano za kuomba ajira kwenye Jeshi la Polisi ambapo siku yake ya mwisho ilikuwa kesho Mei 16, 2024. Hayo yamesemwa leo bungeni Mei 15, 2024 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotolewa bungeni na Mbunge wa Makete, Festo Sanga aliyetumia kanuni namba…

Read More

miche 1000 ya matunda ya Parachichi imetolewa bure kwa vijana Kupitia mradi wa BBT Njombe

Kupitia mradi wa BBT unaotarajia kuanza kwa vikundi vya vijana wilayani Njombe,miche 1000 ya matunda ya Parachichi imetolewa bure ili kuanza kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi kupitia zao hilo. Akizungumza na Ayo TV shambani kwake mkulima maarufu wa zao hilo bwana Stiven Mlimbila alipotembelewa na baadhi viongozi wa mradi huo amesema yuko tayari kutoa mchango huo…

Read More

Wabunge na hoja tano zilizoibua hisia Bunge la Bajeti

Dar es Salaam. Ukiwa umetimia mwezi mmoja tangu Bunge la Bajeti lianze vikao vyake, hoja tano za wabunge zimeibua mjadala kwenye mitandao ya kijamii na watu tofauti wamezizungumzia ama kwa kuzikosoa, kuzishangaa na wengine kuziunga mkono. Hoja hizo ni pamoja na kuondolewa kwa fedha za kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa elimu ya juu, tozo za…

Read More

BoT yatoa angalizo mikopo ‘kausha damu’

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewataka Watanzania kutoa taarifa juu ya uwepo wa taasisi, kampuni au watu binafsi wanaofanya biashara ya kukopesha bila kuwa na leseni au kutozingatia taratibu zilizowekwa. Hatua hiyo imefikiwa ikiwa ni udhibiti wa watu wanaotoa mikopo kiholela ambayo baadhi imekuwa ikiwaumiza wananchi kwa kuwapa riba kubwa ikilinganisha na…

Read More