Admin

TEMESA, GAWS WAKUTANA KUBADILISHANA UWEZO KATIKA UTOAJI HUDUMA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WATAALAMU kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) pamoja na Wataalamu kutoka Wakala wa Karakana Kuu ya kutengeneza Magari Zanzibar (GAWS) wamekutana kujadili namna watakavyobadilishana uwezo kuhakikisha taasisi hizo zinafanya vizuri katika utoaji huduma. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 14,2024 Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji GAWS…

Read More

Wavuvi walalama kufungwa Ziwa Tanganyika

Mwanza. Baadhi ya wavuvi wa mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi inayozungukwa na Ziwa Tanganyika wamesema hawajui hatima yao wakati ziwa hilo likifungwa. Imeelezwa kuwa ziwa linafungwa leo na litafunguliwa Mei 15, 2024 ili kupisha uzalishaji wa mazalia ya samaki. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na Mwananchi leo amesema  kufungwa kwa ziwa…

Read More

Shahidi aeleza jinsi mshtakiwa alivyowasilisha hati feki

Dar es Salaam. Aliyekuwa Msajili wa Ardhi Msaidizi, kutoka Wizara ya Ardhi mkoani Kilimanjaro, Emmanuel Bundala (41) ameileza Mahakama jinsi alivyofanya uchunguzi wa hati ya umiliki wa ardhi na kubaini mmiliki halisi alikuwa ni Stella Mwasha na siyo Rajesh Kumar. Bundala ameeleza hayo leo Jumanne, Mei 14, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini…

Read More

Ulega aeleza wizara yake ivyombadilisha Mnyeti

Dodoma. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumpeleka katika wizara hiyo kwa sababu miaka miwili iliyopita ustaarabu ulikuwa ni mdogo kwake. Hayo yamesemwa leo jioni Jumanne, Machi 14, 2024 na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka…

Read More

KMKM, KVZ zang’olewa Kombe la Shirikisho Zanzibar

MAAFANDE wa KVZ na KMKM zimeaga michuano ya Kombe la Shirikisho Zanzibar (FA) baada kushindwa kufurukuta katika mechi za robo fainali ya michuano hiyo. KVZ iling’olewa jana Jumatatu kwa kufungwa na Mlandege kwa penalti 4-3 baada ya dakika 90 la pambano hilo lililopigwa Uwanja wa Mao, mjini Unguja kumalizika kaa suluhu. Katika mechi nyingine ilipigwa…

Read More