
NMB yazindua akaunti ya kidijitali kwa wajasiriamali
BENKI ya NMB imezindua akaunti maalum ya kidijitali iitwayo ‘NMB Niwekee,’ inayolenga kuleta ukombozi wa maisha ya baadaye ya watu walio nje ya mfumo rasmi wa ajira, ambayo inajumuisha faida kedekede ikiwemo bima ya maisha yenye fidia hadi ya Sh. 50 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). NMB Niwekee ambayo ni fursa na wepesi wa…