
Uzembe watajwa chanzo cha ajali iliyoua saba Morogoro
Morogoro. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Alex Mkama amesema chanzo cha ajali iliyoua watu saba mkoani hapa ni uzembe wa dereva wa lori aliyetaka kuyapita magari yaliyokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari. Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Mei 14, 2024 asubuhi Dakawa Wilaya ya Mvomero ikihusisha lori na gari ndogo aina ya Toyota…