Admin

Kamera kudhibiti mauaji ya wanyamapori Mikumi

Morogoro. Mradi wa ufungaji kamera maalumu za usalama kwa ajili ya kunasa matukio (CCTV) pembezoni mwa barabara ya Tanzania –Zambia, unatarajia kuanza siku yoyote.  Kamera hizo zitakazofungwa katika kipande cha barabara yenye urefu wa kilomita 50 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, zinalenga kudhibiti matukio ya mauaji ya wanyamapori ndani ya hifadhi hiyo. Akizungumza…

Read More

TET yaendelea na ufuatiliaji wa mtaala ulioboreshwa

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania(TET), Dkt Aneth Komba leo tarehe 14/05/2024 amefanya ziara ya kikazi katika shule ya msingi Makumbusho ya jijini Dar es Salaam kwa ajili kujionea utekelejezaji wa Mtaala ulioboreshwa kwa ngazi ya elimu ya Awali na Msingi. Akiwa katika shule hiyo, Dkt. Komba amepata nafasi ya kufanya mazungumzo na Mwalimu…

Read More

Fukwe Zanzibar zatengewa Sh661 milioni

Dodoma. Katika mwaka wa fedha 2024/25 Serikali imetenga Sh661 milioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya ujenzi wa fukwe zilizoathirika na mabadiliko ya tabianchi upande wa Zanzibar.  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Khamis Hamza Khamis amesema hayo leo Jumanne  Mei 14, 2024 alipojibu swali la…

Read More

Maxime: Tchakei, Abuya acha kabisa

WAKATI Ihefu ikishusha presha katika vita ya kushuka daraja, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mecky Maxime ameelezea siri ya kiwango cha nyota wake Marouf Tchakei na Duke Abuya. Wawili hao wamekuwa bora uwanjani na kuchagiza matokeo mazuri kwa timu hiyo, wakihusika katika jumla ya mabao 15 kwenye michezo yote ya mashindano yote ya timu hiyo….

Read More

EXIM Bank, Msalaba Mwekundu wapanda miti, wachangisha damu

  BENKI ya Exim imeshirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) pamoja na Mpango wa Damu Salama Tanzania (NTBS) kupanda miti na kuendesha zoezi la uchangiaji damu katika maadhimisho ya Siku ya Msalaba Mwekundu Duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dodoma ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Dk. Dotto Biteko, Naibu…

Read More

Sh500 bilioni kutumika kuboresha miundombinu Muhimbili

Dodoma. Sh500 bilioni zitatumika kuijenga upya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ili kuwezesha huduma zote za kibingwa na ubingwa bobezi kupatikana. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hayo leo Jumanne Mei 14, 2024 alipojibu swali la mbunge wa Konde, Mohamed Said Issa. Katika swali, mbunge huyo amehoji kwa kuwa matibabu ya kibingwa na bobezi bado…

Read More

Tatizo Prisons hili hapa, Mashujaa kazi ipo

KICHAPO cha bao 1-0 walichopata Tanzania Prisons juzi dhidi ya Ihefu, kimemuamsha Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ahmad Ally akitaja sababu tatu zilizowanyima ushindi kwenye mchezo huo. Prisons ikicheza nyumbani juzi ilifikisha mchezo wa nane mfululizo bila kushinda ikiwa ni kupoteza miwili dhidi ya Ihefu na Mtibwa Sugar na sare sita na kuwa nafasi ya…

Read More