Admin

Safari ya Yanga hadi kubeba ubingwa 2023/2024

YANGA imejihakikishia ubingwa jana baada ya kuichapa Mtibwa Sugar na kujikusanyia taji la 30 kihistoria la Ligi Kuu Bara lakini msimu huu ikiwa na rekodi hizi za kuvutia msimu huu unaoelekea ukingoni. Ilianza kwa kupoteza Ngao Yanga iliuanza msimu kwa mshtuko baada ya kupoteza taji la kwanza mapema tu kwenye mechi za ngao ya jamii …

Read More

Tanzania kunufaika na uanachama wa jumuiya za nishati za ukanda wa afrika mashariki (EAPP) na nchi zilizo kusini mwa afrika(SAPP)

Tanzania inatarajiwa kunufaika na uanachama wake katika jumuiya za nishati za Afrika Mashariki yaani (East African Power Pool) na Kusini (South Africa Power Pool) katika maeneo mbalimbali ikiwemo biashara ya umeme pamoja na kuunganishwa katika gridi ya pamoja. Hayo yamebainishwa katika warsha ya siku tano iliyowakutanisha wakuu wa sekta ya nishati pamoja na washauri kutoka…

Read More

RAIS DKT. MWINYI AZUNGUMZA NA BALOZI WA BRAZILI NCHINI TANZANIA IKULU

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi mpya wa Brazil Nchini Tanzania Mhe.Gustavo Martins Nogueira alipofika Ikulu Jijini Zanzibarb leo 13-5-2024 kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein…

Read More

Tumejiandaa vipi kuufunga mlango wa Fei na Dube

NILILIONA pengo la Prince Dube katika pambano la Azam dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es salaam Alhamisi jioni halafu baadaye ikawa usiku. Azam walikosa mabao kadhaa ya wazi katika pambano hilo. Dube alikuwa wapi? sijui. Mara ya mwisho nilikutana naye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dar es salaam. wote tulikuwa…

Read More

NBC yatoa vifaa tiba hospitali ya Mpitimbi Songea

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa misaada ya vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya Sh. 11.5 milioni kusaidia kuboresha huduma za afya katika Hospitali ya Mpitimbi, Songea Mkoani Ruvuma. Vifaa hivyo ni kitanda cha kujifungulia 1, vitanda vya wagonjwa 15, magodoro 15, madawa na vifaa tiba. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Vifaa tiba…

Read More

LUHEMEJA AOMBA MFUKO MABADILIKO TABIANCHI KUIPATIA FEDHA TANZANIA.

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu, Mhandisi Cyprian Luhemeja ametoa wito kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi (Adaptation Fund) kuendelea kuipatia fedha Tanzania kwa ajili ya kuendelea kutekeleza miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi inayotekelezwa maeneo nchini. Mhandisi Luhemeja amesema hayo leo Jumatatu (Mei 13, 2024) Jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano wa kubadilishana…

Read More