Admin

Chungu na tamu ongezeko la maji Ziwa Victoria, Tanganyika

Mwanza/Muleba. Athari za ongezeko la maji Ziwa Victoria na Tanganyika zinazidi kuonekana kila kukicha. Hii ni baada ya wavuvi zaidi ya 100,000 mkoani Kigoma kudaiwa kuathirika na ongezeko hilo huku kaya 214 za Muleba Mkoa wa Kagera zikikosa vyoo. Pia gharama za kupakia na kushusha mizigo katika soko la kimataifa la samaki mwalo wa Kirumba jijini…

Read More

Tchakei aibeba Singida kwa Prisons Ligi Kuu

Bao la kichwa la dakika ya 50 lililofungwa na kiungo mshambuliaji Marouf Tchakei limetosha kuihakikishia Ihefu SC ushindi muhimu ugenini dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Tchakei amefunga bao hilo akitumia krosi ndefu ya kiungo mwenzake, Duke Abuya  likiwa bao lake la kwanza tangu arejee akitokea katika majeruhi. Matokeo hayo ya…

Read More

THRDC yapaza sauti changamoto ya intaneti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufanya jitihada za kutafuta njia mbadala ya kurejesha mtandao (intaneti) katika hali yake ya kawaida, kwani kukosekana kwake ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Wito huo umetolewa leo Jumatatu na Mratibu wa…

Read More

Huduma nyeti za intaneti zilivyosimama

Dar es Salaam. Licha ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kueleza jitihada zinafanyika ili intaneti irejee kama kawaida, jana na leo hali haikuwa shwari kwa utoaji huduma zinazotumia mtandao huo zikiwamo zile nyeti. Miongoni mwa huduma hizo ni malipo kwa njia ya simu, kutoa fedha benki, tiba mtandao na elimu mtandao. Taarifa ya TCRA iliyotolewa…

Read More

WAZIRI NAPE AWATAKA WANANCHI WA NAMELOCK -KITETO KUTUMIA MTANDAO VIZURI BILA KUDHALILISHA WALA KUTUKANA WENGINE.

Na Janeth Raphael MichuziTv – KITETO, MANYARA WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Nape Nnauye (mb) amewataka Wananchi wa kijiji cha Kinua kilichopo kata ya Namelock Wilayani Kiteto kutumia mtandao vizuri kwa kufanya mambo ya maana na sio kumtukana mtu au kuandika mambo yasiyofaa katika mitandao hiyo ikiwemo udhalilishaji wa Mitandaoni. Waziri…

Read More

Machupa: Simba ya 1999 inaweza kujirudia

WAKATI Simba ikikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa ameitaka usajili ujao kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji, kiungo na beki wa kati kwa kutafuta wachezaji bora watakaoisaidia kubeba ubingwa. Machupa ambaye amestaafu soka la ushindani, amesema kati ya mwaka 1999 hadi 2007 Simba ilisuka…

Read More