Admin

Dk Mpango awataka viongozi wa dini kutetea ukweli bila woga

Dodoma.Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango  amewataka viongozi wa dini, kuishi wito wao wa kinabii, kusema na kuutetea ukweli kwa ajili ya maslahi ya wananchi hasa wanyonge na wafanye hivyo kwa uhuru bila woga.  Ameyasema haya leo Jumapili Mei 12, 2024, jijini Dodoma  kwenye Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Msaidizi Wilbroad Kibozi iliyofanyika Kituo…

Read More

Aliyepandikizwa figo ya nguruwe afariki dunia

Massachusetts. Richard Slayman kutoka Massachusetts aliyepandikizwa figo ya Nguruwe amefariki dunia hii leo Jumapili Mei 12, 2024. Kwa mujibu wa BBC Slayman (62) ambaye ni mtu wa kwanza kupandikizwa figo ya mnyama huyo iliyobadilishwa vinasaba amefariki ikiwa ni miezi miwili baada ya kufanyiwa upasuaji huo mnamo Machi 16, 2024. Slayman aliruhusiwa Aprili 4, 2024 baada…

Read More

Hizi hapa sababu tatu Matampi kuvaa jezi ya Simba

SIMBA inahaha kumbakisha kipa wake namba moja, Ayoub Lakred ambaye anatingisha anataka kuondoka na kurejea Morocco lakini kukabiliana na presha hiyo, Wekundu hao wameanza mazungumzo na kipa namba mbili kwa ubora kwenye ligi kwa sasa, Ley Matampi. Uamuzi huo wa Simba unakuja huku kukiwa na sababu tatu zinazombeba Matampi kuwa na nafasi kubwa ya kuvaa…

Read More

Hatua za kuchukua kuepuka malaria kali

Dar es Salaam. Wizara ya Afya, imeitaka jamii kujikinga dhidi ya ugonjwa wa malaria, ikitaja hatua za kuchukua kuepuka ugonjwa huo, huku  takwimu zikionyesha kuongezeka kwa wagonjwa na vifo vya malaria nchini. Kulala ndani ya chandarua chenye dawa, kufukia madimbwi, kufyeka nyasi, kupaka  dawa zinazozuia mbu na kufika vituo vya afya pindi wanapopata homa,  ni…

Read More

MERIDIANBET YAPELEKA TABASAMU KIGAMBONI SIKU YA KINA MAMA

KAMPUNI ya Meridianbet imefanikiwa kupeleka tabasamu Kigamboni eneo linalofahamika kama mji mwema, Kwani wataalamu hao wa michezo ya kubashiri wamefika kwenye Zahanati inayopatikana eneo hilo na kutoa msaada kwenye siku ya kina Mama duniani. Katika kuhakikisha wanaonesha kuuthamini mchango wa mwanamke katika jamii walifika katika Zahanati hiyo na kutoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo chakula,…

Read More

Haki za binadamu kuundiwa mtalaa wa elimu

Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Pindi Chana amesema wizara yake kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, zinakusudia kuingiza kwenye mitalaa ya elimu masuala ya haki za binadamu. Amesema licha ya kuendesha elimu na mafunzo kuhusu haki za binadamu, wanawasiliana kwa karibu na wizara hiyo ili kuona uwezekano wa kuwa somo…

Read More