Admin

Mishtuko ya Mafuta, Misukosuko ya Kisiasa na Suluhu Moja Serikali Huendelea Kupuuza – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Marcelo Del Pozo/Reuters kupitia Gallo Images Maoni na Andrew Firmin (london) Jumatatu, Machi 16, 2026 Inter Press Service LONDON, Machi 16 (IPS) – Kwa mara nyingine tena, bei ya mafuta duniani inapanda, kutokana na vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran. Huku Iran ikilipiza kisasi kwa kushambulia miundombinu na vituo vya usafiri na…

Read More

WANAWAKE MKOANI IRINGA WAASWA KUACHANA NA MIKOPO YA SHIKILIA DERA

Na Rose Ngunangwa, Iringa Wanawake Mkoani Iringa wameaswa kuachana na mikopo almarufu kama Shikilia Dera au Ndala mkononi kwani mikopo hiyo imekuwa ikisababisha mali za familia kuuzwa au kutaifishwa ili kufidia na kuiacha familia ikiingia kwenye lindi la umaskini. Mikopo hiyo imepewa jina la shikilia dera au kandamili mkononi kutokana na wanawake wanaochukua kulazimika kushikilia…

Read More

Airtel Tanzania Inathibitisha Dhamira yake ya Kuunganisha na Kukuza Ujumuishaji wa Kifedha Wakati wa Iftari ya Ramadan

Dar es Salaam, Machi 9, 2026.  KAMPUNI ya Airtel Tanzania Jumatatu iliandaa hafla maalumu ya Iftari ya Ramadan jijini Dar es Salaam, ikiwakutanisha viongozi wa serikali, wateja, wadau na wanahabari katika hali ya umoja, tafakari na shukrani wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadan. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Khamis Mussa Omar,…

Read More

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI KATAVI

▪︎ Aagiza viongozi kushughulikia kero za wananchi badala ya kusubiri viongozi wakuu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 16, 2026 amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Katavi iliyoanza Machi 13, 2026 ambapo ameelekeza viongozi wa wilaya na halmashauri nchini kuhakikisha wanashughulikia changamoto za wananchi kwa wakati bila kusubiri ziara za viongozi wa kitaifa. Akizungumza…

Read More

TTCL YALETA MAPINDUZI YA INTANETI YA KASI KUBWA NCHINI

***** Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua huduma mpya ya intaneti ya kasi kubwa ijulikanayo Faiba Supersonic Experience, Kasi Balaa kwa lengo la kuimarisha huduma za mawasiliano nchini. Uzinduzi huo ni sehemu ya juhudi za TTCL kuendana na kasi ya ukuaji wa teknolojia ya kidijitali na mahitaji ya watumiaji wa intaneti. Mkurugenzi wa Biashara wa…

Read More

SERIKALI YAIMARISHA TAFITI, MATUMIZI YA TEHAMA SEKTA YA AFYA

Na WAF – Uingereza  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha juhudi za kukuza utafiti na ubunifu katika sekta ya afya ili kukabiliana na changamoto za ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) pamoja na magonjwa ya kuambukiza.  Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema hayo leo Machi 16, 2026 jijini London wakati akiwasilisha…

Read More