Admin

Singida Black Stars yawaachia maujanja Warundi

LICHA ya Flambeau du Centre ya Burundi kuondoshwa na Singida Black Stars katika raundi ya pili ya mtoano wa Kombe la Shirikisho Afrika, kocha wa kikosi hicho, Rukundo Jean de Dieu, amesema kuna mambo mengi wamejifunza na wanaenda kuyafanyia kazi. Rukundo amezungumza hayo baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 3-1, katika mechi ya marudiano iliyopigwa…

Read More

Wasimamizi wa uchaguzi watakiwa kutenda haki

Simiyu. Wasimamizi wa uchaguzi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia uchaguzi mkuu kwa uwazi, haki na kushirikisha vyama vyote vya siasa vilivyoko kwenye mchakato huo ili kujenga imani kwa wananchi. Wito huo umetolewa  leo Jumapili Oktoba 25, 2025 na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Maswa Mashariki na Jimbo la Maswa Magharibi, Julius Ikongora wakati akifungua mafunzo ya…

Read More

Matumaini mapya uzalishaji wa sukari ukiongezeka nchini

Dar es Salaam. Wazalishaji wa sukari nchini wamesema sekta hiyo imeingia katika kipindi cha ustawi mkubwa, kutokana na ongezeko la uzalishaji kwa asilimia 54, huku ikitazamiwa kuwa uzalishaji wa bidhaa hiyo muhimu utafikia tani 350,000 katika nusu ya pili ya msimu wa 2025/26. Kiwango kinachotarajiwa kutosheleza soko la ndani na kuimarisha ushindani wa kikanda. Chama…

Read More

Wasimamizi 2,870 wa uchaguzi wakumbushwa kuzingatia sheria

Mwanza. Wasimamizi na wasaidizi 2,870 katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wameanza mafunzo ya siku tatu ya usimamizi wa uchaguzi mkuu, huku wakikumbushwa jukumu walilokabidhiwa ni la kikatiba linalohitaji uelewa wa sheria, weledi na utendaji haki. Akifungua mafunzo hayo leo Jumapili Oktoba 26, 2025 Msimamizi wa uchaguzi Ilemela, Herbert Bilia amesema yanahusisha wasimamizi…

Read More

Polisi yawahakikishia wananchi usalama siku ya uchaguzi, yatoa onyo watakaovunja amani

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini limetoa hakikisho kwa Watanzania kuwa hali ya usalama imeimarishwa kikamilifu kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, ambapo wananchi watatekeleza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura kuwachagua Rais, wabunge na madiwani. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Oktoba 26, 2025 na Msemaji wa Jeshi hilo kutoka Makao…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CHATO KUSINI AOMBA KURA MLANGO KWA MLANGO

Kulia ni mgombea Ubunge Jimbo la Chato kusini,Paschal Lutandula,akiomba kura. …………. CHATO  SIKU Moja baada ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, kuhitimisha kampeni za jukwaani za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Chato kusini, mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo, Paschal Lutandula, ameendelea na kampeni za nyumba kwa nyumba…

Read More