Kilio cha ajira kilivyokuwa mjadala 2025
Dar es Salaam. Mwaka 2025 sekta ya ajira imeendelea kuwa ajenda nzito ya kitaifa, ikibeba mjadala mpana miongoni mwa vijana na wadau wa maendeleo, huku ikigusa matumaini, changamoto na mwelekeo mpya wa uchumi wa Taifa. Licha ya uwekezaji unaoendelea na mipango mbalimbali ya Serikali, wadau wanaeleza kuwa mustakabali wa ajira kwa vijana utategemea zaidi ubunifu,…