Mbunge Shigongo Apongeza Maboresho ya Afya chini ya Rais Samia – Video
Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amesema kuwa ameridhishwa na juhudi za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya nchini, ikiwemo maboresho makubwa yanayofanywa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Shigongo aliyasema hayo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge katika hospitali…