Admin

 Mtaalamu wa picha alivyohitimisha ushahidi dhidi ya Lissu

‎Dar es Salaam. Shahidi wa tatu wa upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu jana alihitimisha ushahidi wake katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam huku akisisitiza kuwa hawezi kuandika kila kitu kwenye maelezo yake aliyoandika polisi, kwani kwa kufanya hivyo atakuwa anaandika kitabu au ripoti ya…

Read More

MOHAMED ABDALLAH: MTAMBILE YAJAA FURAHA NA IMANI KWA CCM

  MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Mtambile, Mkoa wa Kusini Pemba, Mheshimiwa Mohamed Abdallah Kassim, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kuwa hali ya kisiasa katika jimbo hilo ni ya amani na furaha, kwani ni sherehe za ushindi ndizo zinaendelea, siyo maandamano. Akizungumza katika mwendelezo wa kampeni za CCM zinazoendelea jimboni humo, Mheshimiwa…

Read More

Lissu aomba dhamana, mahakama yamkatalia

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imelikataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu la kutaka apewe dhamana. Lissu aliwasilisha hoja hiyo leo Ijumaa, Oktoba 24, 2025 baada ya Jamhuri kuomba kesi iahirishwe kutokana na kutokuwa na shahidi kwa siku ya leo. Awali, Jamhuri katika kesi…

Read More

KONA YA MSTAAFU: Iko wapi nchi ya asali na maziwa kwa wastaafu?

Miaka 48 iliyopita wakati tukianza ajira moja kwa moja kutoka shule, mashirika, kampuni za umma na binafsi zilituajiri bila kulazimika kuwa na tochi kutafuta ajira, kama ilivyo sasa, tulikuwa tunaelekea kwenye nchi ya asali na maziwa. Kibubu pekee kilichokuwepo enzi hizo cha akiba ya wafanyakazi cha NPF, kikaanza kutuwekea akiba iliyoikata kutoka kwenye mishahara yetu…

Read More

VIDEO: Lissu alivyofikishwa tena Mahakama Kuu leo

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendelealo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa tena katika Mahakama Kuu leo Oktoba 24, 2025 ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili. Kwa mujibu wa hati ya wito wa kufika mahakamani iliyopelekwa kwa pande zote, kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mfululizo kuanzia Oktoba 6, mpaka leo Oktoba 24,…

Read More

Oktoba 29 mapumziko ya kitaifa kwa ajili ya kupiga kura

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza Jumatano Oktoba 29, 2025 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika shughuli ya kupiga kura. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka, jana Oktoba 24, 2025, imeeleza kuwa uamuzi huo umetolewa baada ya Tume Huru ya Taifa…

Read More