 
        
            DCI MSTAAFU BALOZI ADADI RAJAB OCTOBA 29 TUJITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA AMANI NA UTULIVU VITATAWALA
Balozi Adadi aliyasema hayo wakati wa mkutano wa kampeni wa kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Muheza (CCM) Hamisi Mwinjuma alimaarufu Mwana FA katika halfa ambayo mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajabu Abdurhamani ambapo alisema suala la amani ni muhimu sana Alisema kwamba anasema hayo kutokana na kwamba yeye…
 
                         
                         
                         
                         
                         
                         
         
         
         
         
        