
Vijana Kagera wamshauri Mwenyekiti UVCCM kuomba radhi
Faris katikati akiwa na wenzake kwenye moja ya kazi za chama Ni kwa kauli yake ya kupoteza wanaotukana mitandaoni Na Mwandishi Wetu, Kagera VIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa huo Faris Buruhan kuomba radhi au kujiuzulu kwenye nafasi yake kwa matamshi yake ya hivi karibuni kutaka kuwapoteza watu…