
Sitta ang’ang’ana wanafunzi watibiwe bure, Serikali yagoma
MBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi wapatiwe huduma za afya bure kama inavyotoa huduma za elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Sitta ametoa ushauri huo leo Ijumaa, bungeni jijini Dodoma, akiuliza swali la Mbunge wa Sikonge, Joseph Kakunda, aliyehoji Serikali haioni…