Admin

Diane Rwigara kumvaa tena Rais Kagame

Mpizani wa Rais Paul Kagame, Diane Rwigara ametangaza kuwania tena urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Julai 15, 2024mwaka huu. Mbali na Diane, Rais Kagame ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 2000, anatarajiwa kupambana na Frank Habineza wa Chama cha Green na mgombea binafsi Philippe Mpayimana, kwenye uchaguzi huo. Diane, 42, kiongozi wa Chama cha People Salvation…

Read More

Mpango ataja vipaumbele tisa kampeni ya Mtu ni Afya

Pwani. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema nchi itajikita katika vipaumbele tisa, kwenye awamu ya pili ya Kampeni ya Mtu ni Afya. Vipaumbele hivyo ni pamoja na namna ya kushughulikia magonjwa yanayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, ikiwemo magonjwa ya mfumo wa hewa. Kampeni ya Mtu ni Afya iliyotimiza miaka 50 tangu kuanzishwa…

Read More

Simba yaipiga Azam, Fei akosa penalti

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC wameendeleza moto wao wakiwa chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mgunda kufuatia kuibuka na ushindi wa tatu mfululizo katika mchezo wa vita ya nafasi dhidi ya Azam ambapo imeshinda kwa mabao 3-0 mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mabao ya Sadio Kanoute dakika ya 63,  Fabrice Ngoma dakika ya…

Read More

Ibenge afunguka dili la kutua Simba, naachaje…!

Kocha Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge amesema itakuwa ni heshima kwake endapo atapata nafasi ya kuinoa timu mojawapo za Ligi Kuu Tanzania haswa Simba yenye nafasi ya kuwania mataji na kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Baada ya uwepo wa tetesi za Simba kuhitaji huduma yake ili kuziba pengo la aliyekuwa kocha wa…

Read More

WAUGUZI WATAKIWA KULA KIAPO CHA KUTOA HUDUMA BORA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka wauguzi kula kiapo cha utoaji wa huduma bora. Waziri Mchengerwa ameyasema hayo jijini Tanga wakati wa kufungua Kongamano la kisayansi na Mkutano Mkuu wa 51 wa Chama Cha Wauguzi Tanzania. Amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshamaliza…

Read More

Saa 72 za moto Chadema, kauli ya Lissu…

Dar/mikoani. Hatima ya nani atateuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi za uenyekiti wa kanda, itajulikana baada ya Kamati Kuu kujifungia kwa siku tatu kuanzia kesho Jumamosi hadi Jumatatu. Pamoja na wateule hao kujulikana, baada ya kikao hicho, msimamo wa chama hicho kuhusu kauli ya Makamu Mwenyekiti wake Bara, Tundu Lissu juu…

Read More