Admin

Yanga yafuata kipa jeshini, ni mrithi wa Metacha

MOJA ya eneo ambalo Yanga itaingiza ingizo jipya msimu ujao ni katika nafasi ya kipa na hesabu zao zimeenda kwa kipa namba moja wa timu ya Jeshi la Magereza, Tanzania Prisons. Mabosi wa Yanga wanajipanga kuvamia katika klabu hiyo yenye maskani yake mkoani Mbeya ikimfuata kipa namba moja wa kikosi hicho, Yona Amos ambaye msimu…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA KIWANDA CHA KUUNGANISHA MALORI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Profesa Kitila Mkumbo mara baada ya kuzindua Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni Jijini Dar es…

Read More

ACT Wazalendo: Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi mjiuzulu wenyewe

Mwanza. Chama cha ACT Wazalendo kimesisitiza kwamba wajumbe wa Tume ya Uchaguzi waachie ngazi ili mpya ipatikane kutokana na mchakato wa sheria mpya unaotaka watu waombe, wafanyiwe usaili, majina yapelekwe kwa Rais kwa ajili ya kutangazwa kupata makamishina wapya. Akizungumza jana Mei 8, 2024 katika kata ya Nguruka wilayani Uvinza, mkoani Kigoma  aliyekuwa kiongozi wa…

Read More

Rais Samia Azindua Kiwanda Cha Magari Kigamboni Dar Es Saalam

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezindua kiwanda cha SaturnCorporation Limited Wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Mei, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Viongozi pamoja na Wananchi wa Kigamboni na maeneo jirani mara baada ya kuzindua Kiwanda cha Kuunganisha Malori…

Read More

Urusi haitaruhusu vitisho – DW – 09.05.2024

Ameyasema hayo wakati leo Urusi ikiadhimisha miaka 79 ya ushindi wa umoja wa Kisovieti dhidi ya utawala wa Kinazi wa Ujerumani katika vita vya pili vya dunia. Maadhimisho hayo ya ‘Siku ya Ushindi ‘ yameongozwa  na rais Vlamdir Putin mapema Alhamisi mjini Moscow. Katika tukio hilo wanajeshi 9,000 wameshiriki katika gwaride la heshima ambapo 1,000…

Read More

Mkutano wa demokrasia: Suala la Katiba mpya bado moto

Dar es Salaam. Kilio cha Katiba bado hakijapoa. Mkutano wa siku mbili wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa,  umependekeza masuala mbalimbali ikiwemo kufanya mabadiliko madogo ya kikatiba sambamba na kuendelea na mchakato wa Katiba Mpya. Mapendekezo hayo yalisomwa jana na Buruani Mshale kutoka taasisi ya Twaweza katika mkutano wa kitaifa wa kutafakari na…

Read More

WANAFUNZI GEITA WAWEKA BAYANA SABABU ZINAZOCHANGIA UTORO

  Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala akisalimiana na Wanafunzi wa Sekondari ya Bung’wangoko ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa inayoendelea mkoani Geita na wadau wa elimu. Wadau wa elimu pamoja na wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) wakiwa katika ziara kutembelea shule mbalimbali mkoani…

Read More