Admin

Suluhu yaziachia maswali Ihefu, JKT Tanzania

MSIMU huu wa 2023/24, hakuna mbabe kati ya Ihefu SC na JKT Tanzania baada ya timu hizo kushindwa kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida huku suluhu hiyo ikiziachia maswali ya kwamba itakuwaje mechi nne zilizosalia? Leo timu hizo zilikutana kwa mara ya pili msimu huu…

Read More

Mtibwa bado wanaitaka Ligi Kuu

HAIJAISHA hadi iishe ndiyo kauli wanayoishi nayo timu ya Mtibwa Sugar huku matumaini yao makubwa yakiwa ni kwamba msimu ujao wataendelea tena kukiwasha Ligi Kuu ya NBC licha ya kwamba hivi sasa wana hali mbaya. Timu hiyo yenye maskani yake Turiani mkoani Morogoro, imepata matumaini hayo baada ya leo Mei 9, 2024 kuibuka na ushindi…

Read More

DKT.BITEKO ATAKA Ma-DC, Ma-DAS NA Ma-DED KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KWA KUZINGATIA SHERIA

📌Dkt. Biteko awataka kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa kuzingatia sheria 📌Asema maamuzi yao yasiwe ya upendeleo 📌Aelekeza kuandaa mkakati thabiti wa kutatua migogoro ya ardhi 📌Wakafanyie kazi mapendekezo ya ripoti ya Haki Jinai Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala na Wakurugenzi wa Halmshauri nchini…

Read More

MWAROBAINI MGOGORO WA ARDHI VIJIJI VINNE KUJULIKANA MWEZI JUNI, DC SAME ATULIZA MZUKA WA WANANCHI.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewataka wananchi kwenye maeneo yote yenye mgogoro wa mipaka katika vijiji vinne vya Bangalala, Makanya, Nasulo na Mwembe kutoendelea na shughuli yeyote mpaka hapo mwezi June mwaka huu Serikali itakapotoa ufumbuzi wa mgogoro huo. Mkuu huyo wa Wilaya amezungumza hayo kwenye mkutano…

Read More

“Tumefanikiwa kuwarudisha tembo 61 Hifadhini” Waziri Kairuki

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kutatua changamoto ya migongano baina ya binadamu na wanyamapori huku ikisisitiza kuwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imeweka kipaumbele katika kutatua changamoto hiyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) wakati wa zoezi la kuwarudisha tembo hifadhini lililofanyika Wilaya ya…

Read More