Admin

WAZIRI MAKAMBA, WAWEKEZAJI WA IRELAND WAJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Mkamba amefanya mazungumzo na Wawekezaji kutoka nchini Ireland ambao wapo ziarani nchini kuangalia na kufanya tathimini ya fursa za uwekezaji zinazopatika katika sekta mbalimbali. Mazungumzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 8 Mei 2024 yalilenga kubalishana taarifa mbalimbali na uzoefu katika sekta…

Read More

BEI YA ZAO LA PAMBA 2024/2025 YATANGAZWA RASMI

  Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Wizara ya kilimo kupitia bodi ya pamba nchini imetangaza bei elekeziya ununuzi wa zao la pamba katika msimu wa mwaka 2024/2025 ambayo ni Sh 1,150/=kwa kilo 1 ya pamba. Sherehe hizo zilizoambatana na uzinduzi wa ununuzi wa zao la  pamba kitaifa 2024/2025  zimefanyika leo katika Kijiji cha…

Read More

Dar inavyozizidi nchi zaidi ya 10 kwa utajiri Afrika

Pengine ni vigumu kuamini, lakini ndio ukweli wenyewe. Kama Dar es Salaam ingekuwa ni nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kuliko mataifa mengi ya Afrika, hata Ulaya pia. Kwa mujibu wa ripoti ya ufanisi wa kikanda inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania kila baada ya miezi mitatu, pato la Dar es Salaam hadi Desemba 2022 lilikuwa…

Read More

Chukwu amtaja Aziz KI, afunguka dili la Yanga

MORICE Chukwu ni majina ambayo yalitikisa wakati wa dirisha dogo la usajili akihusishwa na timu mbalimbali nchini ikiwemo Yanga lakini baadae akaibukia Singida Big Stars na sasa Ihefu. Kiungo huyo aliwavutia mabosi mbalimbali wa klabu nchini baada ya kuonyesha kiwango bora alipokuja na timu yake ya zamani Rivers United kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho…

Read More