Admin

Wapalestina waukimbia mji wa Rafah – DW – 08.05.2024

Licha ya mayowe kutoka kwa jamii ya kimataifa kupinga mashambulio hayo ya ardhini, Israel ilipeleka vifaru vyake katika mji wa Rafah hapo jana Jumanne na wanajeshi wake wakakiteka kivuko kinachounganisha mji wa Rafah na Misri ambacho ni njia kuu ya kupitishia misaada kwenda katika eneo lililozingirwa la Palestina. Soma Pia: Guterres asema kushambulia Rafah itakuwa janga…

Read More

80% ya Watanzania kutumia nishati Safi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema malengo ya Serikali ni kuwa ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Dkt. Biteko amesema hayo mkoani Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024 – 2034. Amesema…

Read More

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu ya Kengold yenye maskani yake Wilayani Chunya, mkoani Mbeya ambayo ndiyo bingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2023/2024. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo inatoa ruhusa kwa mabingwa hao…

Read More

Ajali ya bajaji, Coaster yaua mama na mtoto

Mbeya. Mwanamke mmoja na mtoto wake ambao hawajafahamika majina wamefariki dunia baada ya ajali ya bajaji waliyokuwa wamepanda kugongana na basi aina ya Toyota Coaster Mtaa wa Maghorofani jijini Mbeya. Ajali hiyo ilitokea jana jioni, Mei 7, 2024  huku bajaji ikiwa imebeba watatu waliokuwa wanatokea hospitali ya mkoa. Imedaiwa kuwa, dereva wa bajaji hiyo aliyekuwa…

Read More

JKT YAENDELEA NA UJENZI WA MAHANGA

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiweka  jiwe la Msingi  ujenzi wa Mahanga ya Vijana katika kikosi cha 824 KJ Kanembwa,Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. Na.Alex Sonna-KAKONKO JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo kwa ajili ya ujenzi wa  miundombinu na majengo  ili…

Read More