Admin

Shungu: Beki mpya Yanga ni mtu na nusu

WAKATI Yanga ikibakiza hatua chache kumalizana na beki wa kushoto wa FC Lupopo, Chadrack Boka, Raul Shungu amewaambia ; “Ni bonge ya beki.” Kocha huyo ambaye amewahi kuifundisha Yanga kwa mafanikio miaka ya tisini, ameliambia Mwanaspoti kwa njia ya simu kuwa, Boka ni beki wa maana na kama Yanga itamnasa itakuwa imezipiga bao timu nyingi…

Read More

Mabeyo ametuepusha

NIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa majeshi Jenerali Venance Mabeyo kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaandika Joster Mwangulumbi… (endelea). Jenerali Mabeyo ndiye, saa 24 kabla ya John Magufuli kufariki dunia 17 Machi 2021 katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam, alikuwa ameishika mkononi hatima ya Tanzania. Kwa maelezo yake, yeye…

Read More

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

WAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia nchini, kimemuweka kwenye kitanzi mbunge wake wa Kisesa Luhaga Mpina kutokana na michango yake anayoitoa bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Tayari vikao vya kamati ya maadili ya CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa vimejadili mwenendo wa mbunge huyo ndani na nje ya Bunge na kuna…

Read More