
Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma
NAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo yanayotolewa na Shirika la Amend kwa udhamini wa Ubalozi wa Uswis kwa madereva bodaboda 395 kwani yatawalinda raia wanaowabeba kwa ajili ya kujenga uchumi wa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Akizungumza wakati wa kuhimishwa kwa mafunzo ya awamu ya pili ya usalama barabarani…