Admin

Warombo wataka kuanzisha benki yao

Dar es Salaam. Wenyeji wa Rombo wanaoishi Mkoa wa Dar es Salaam wamehamasishana kushirikiana kuanzisha benki yao itakayowasaidia kukuza uchumi wa pamoja. Wamesema endapo wazo hilo litafanikiwa, benki hiyo itawapa fursa ya kuanzisha viwanda vikubwa na vidogo nchini, hivyo kukuza uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja na kuleta maendeleo mapana kwa Taifa. Wananchi wa Rombo wanaoishi Dar…

Read More

Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe imepokea zaidi ya Bilioni 1.03 kwenye zoezi la elimu bila malipo

Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe imepokea zaidi ya bilioni 1.03 kwa ajili ya kuwezesha zoezi la elimu bila ya malipo katika shule 120 wilayani humo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Agnetha Mpangile wakati akifungua kikao cha baraza la madiwani cha kipindi cha robo ya tatu kilichofanyika wilayani humo. Mpangile amesema halmashauri…

Read More

Maandalizi ya CHAN 2024 na afcon 2027 yapambamoto

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro ameongoza kikao cha kujadili maandalizi ya Fainali za Mashindano ya CHAN mwaka 2024 na AFCON 2027 yatakayofanyika nchini Tanzania kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kilichofanyika Mei 6, 2024 Jijini Dodoma. Kikao hicho kimejadili ukarabati wa miundombinu ambayo itatumika katika mashindano hayo iliyopo Tanzania Bara na…

Read More

Picha: Waziri wa Elimu na Viongozi wengineo walivyowasili bungeni Bajeti ya Wizara hiyo Mwaka fedha 2024/2025

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda alivyowasili Bungeni jijini Dodoma tayari kuwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Bajeti ya Wizara ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 ina kauli mbiu inayosema ‘Elimu ujuzi ndio mwelekeo’ ikiwa na maana msisitizo na mkazo katika mitaala yetu utajikita zaidi katika…

Read More

Sababu zinazompa Kibu thamani | Mwanaspoti

Kibarua kigumu ambacho Simba inacho katika kumbakisha nyota wake Kibu Denis anasaini mkataba mpya kinachangiwa na ufanisi wa mchezaji huyo uwanjani licha ya kutokuwa na takwimu bora za kuhusika na mabao, thamani ya mkataba wake uliopita lakini pia uwepo wa ofa nono mezani kutoka timu nyingine. Licha ya mchezaji huyo mwenye uwezo wa kucheza vyema…

Read More