Admin

Sababu zinazompa Kibu thamani | Mwanaspoti

Kibarua kigumu ambacho Simba inacho katika kumbakisha nyota wake Kibu Denis anasaini mkataba mpya kinachangiwa na ufanisi wa mchezaji huyo uwanjani licha ya kutokuwa na takwimu bora za kuhusika na mabao, thamani ya mkataba wake uliopita lakini pia uwepo wa ofa nono mezani kutoka timu nyingine. Licha ya mchezaji huyo mwenye uwezo wa kucheza vyema…

Read More

Eneo la Kitanzini Wajerumani walipokuwa wakinyonga Wahehe kujengwa makumbusho

Iringa. Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada amesema wanatarajia kujenga makumbusho ili kuhifadhi historia ambako Wajerumani wakati wa utawala wao walikuwa wakiwanyonga Wahehe waliomtii Chifu Mkwawa. Eneo hilo, inasemekana kulikuwa na mti uliotumika kuwanyongea raia hao wenyeji na kuwa aliyefikishwa hapo alifungwa kitanzi shingoni na kuning’inizwa hadi kufa. Neno ‘kitanzi’ ndilo lililozaa jina la…

Read More

Boeing 737-9 Max kuanza kutua Dodoma

Dodoma. Wakati Bunge la Tanzania likipitisha bajeti ya Wizara ya Uchukuzi, Serikali imesema mwishoni mwa mwaka 2024 ndege kubwa ya abiria ya Boeing 737-9 Max itaanza kwenda Dodoma mara mbili kwa siku. Pia, Serikali imesema wananchi wa Kipunguni jijini Dar es Salaam waliopisha uwanja wa ndege, wataanza kulipwa fedha zao mwaka huu, baada ya kusubiri…

Read More

Mashambulizi ya anga ya Somalia yaliwaua raia – DW – 07.05.2024

Limesema mashambulizi hayo yalifanywa kwa kutumia droni zilizoundwa nchini Uturuki.  Katika taarifa yake iliyoitoa leo Jumanne, Amnesty International imedai mashambulizi hayo ya Machi 18 yalililenga shamba moja karibu na kijiji cha Bagdad, kilicho mkoa wa kusini mwa Somalia wa Lower Shabelle. Shirika hilo limetoa mwito wa uchunguzi huru wa mkasa huyo ikiwemo iwapo kile kilichotokea…

Read More