Admin

Simba, Yanga yamuachia msala Kibu

BAADA ya mazungumzo ya muda mrefu na klabu yake ya Simba kuhusu kuongeza mkataba mpya sambamba na Yanga kutaka kumsajili kiungo mshambuliaji, Kibu Denis, sasa amebaki na kalamu mkononi akipewa uhuru wa kuchagua asaini wapi na avae jezi gani msimu ujao jambo lililomuweka njia panda. Kibu aliyejiunga na Simba msimu wa 2021/2023 akitokea Mbeya City…

Read More

Marubani wa ATCL kutoa shule ya Airbus Nigeria

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), limeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake,  kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege ya Ibom iliyopo nchini Nigeria. Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Ladislaus Matindi, amethibitisha kuwepo kwa makubaliano hayo,  ambapo amesema ATCL imetoa marubani wake waandamizi wawili ambao watakuwa na jukumu la…

Read More

Fei Toto, Aziz KI vita ni kali

Bao moja alilolifunga nyota wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika mchezo wa jana dhidi ya Mtibwa Sugar limemfanya kufikisha mabao 15 ya Ligi Kuu Bara akiwa sambamba na nyota wa Yanga, Stephane Aziz Ki waliopo kwenye vita ya ufungaji bora. Feisal alifunga wakati Azam ikiitandika Mtibwa Sugar mabao 2-0, jana na kuendeleza kushikilia…

Read More

Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Muungano kuzikwa Jumatano

Moshi. Hassaniel Mrema (80), mmoja wa vijana walioshiriki tukio la kuchanganya udongo siku ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26, 1964, anatarajiwa kuzikwa Jumatano Mei 8, 2024 nyumbani kwake katika kijiji cha Mdawi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Mzee Mrema ambaye alizaliwa Juni 23, 1944, alifariki, Jumamosi ya Mei 4, 2024 saa 12:00 asubuhi,…

Read More

HISIA ZANGU: Pamba karibuni katika ufalme wa Aziz KI, Chama

RAFIKI zetu wa Mwanza Pamba wamerudi Ligi Kuu. Imepita miaka 22 tangu walipoondoka zao. Umri wa mtu mzima. Nyakati zimekwenda wapi? Hatujui. Walikuwa na shangwe kwelikweli katika mitaa yao. Namna walivyopokewa ungeweza kudhani wametoka kutwaa Kombe la Dunia. Unaikumbuka Pamba halisi? Wakati huo wakiwa na kina Fumo Felician, Khalfan Ngassa baba yake Mrisho Ngassa, Kitwana…

Read More