Admin

Mbunge ashukia vigezo vya Tasaf

Dodoma.Mbunge wa Viti Maalum,  Anatropia Theonest amesema wakati mwingine wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf),  huondolewa katika mfumo kwa kutoelewa vigezo ama kwa kuonewa.  Akiuliza swali bungeni leo Mei 6, 2024, Anatropia amehoji kwa nini vigezo haviko dhahiri ili kuepuka siasa katika jimbo hilo. Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi…

Read More

BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA WANAFUNZI VYUO VIKUU VYA IRINGA NA DODOMA

Mratibu wa mafunzo (Supervisor Learning and Development wa Barrick Tanzania,Elly shimbi akiongea na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakati wa kongamano lakuwajengea uwezo wakujiamini na kuhimili ushindani wa ajira na kujiajiri lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania lililofanyika katika chuo hicho mwishoni mwa wiki kwaudhamini wa Barrick. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na…

Read More

Mjadala tuzo ya Aziz Ki na takwimu za Guede

Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Aprili ya Ligi Kuu Bara imezua gumzo kwa baadhi ya wadau wa soka nchini kutokana na kuteuliwa Stephane Aziz KI badala ya Joseph Guede ambaye ameonekana kuwa na mchango mkubwa zaidi katika pointi 10 ambazo Yanga imevuna ndani ya mwezi huo. Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi…

Read More

WANAFUNZI WA KIMATAIFA CHUO KIKUU MZUMBE WAWASILISHA MATOKEO YA TAFITI ZA AWALI KUHUSU MAJI, ELIMU NA USALAMA WA CHAKULA

Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Antwerp Ubelgiji na Chuo Kikuu cha Kikristu cha Uganda ambao wapo katika programu ya kubadilishana Wanafunzi na Chuo kikuu Mzumbe wamewasilisha matokeo ya awali ya tafiti walizofanya kwenye maeneo ya maji, elimu na usalama wa chakula kwa kusimamiwa na wahadhiri wa Chuo Kikuu Mzumbe ikiwa ni sehemu ya mafunzo yao…

Read More

Mbeya City yashtuka, kumkalia kikao Mayanga

Baada ya kumalizika kwa Championship, uongozi wa Mbeya City umekiri kutofikia malengo ukiahidi kujipanga upya kwa ajili ya msimu ujao, huku ishu ya benchi la ufundi ikisubiri kikao cha bodi. City iliyoshuka daraja msimu wa 2022/23, imemaliza Championship nafasi ya sita kwa pointi 37, huku ikiongozwa na Salum Mayanga ambapo matarajio yao yalikuwa ni kurejea…

Read More

Mafuriko, maporomoko ya udongo yaua 78 Brazil

Rio de Janeiro. Unaweza kusema mafuriko yameendelea kuwa mwiba maeneo mbalimbali ulimwenguni. Hii  ni kutokana na kusababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali pamoja na miundombinu. Mbali na Tanzania, Kenya, na Falme za Kiarabu ambapo yameripotiwa kusababisha madhara makubwa pia vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti vifo vya watu takribani 100 katika jimbo la kusini la…

Read More