Admin

Sababu kimbunga Hidaya kukosa nguvu ghafla

Dar/Mikoani. Shughuli za usafiri, usafirishaji na uvuvi zikiwa zimerejea katika baadhi ya maeneo huku athari zaidi za kimbunga Hidaya zikitajwa, wataalamu wa masuala ya hali ya hewa wameeleza siri ya kimbunga hicho kukosa nguvu ghafla. Kimbunga Hidaya kilichoanza kutolewa taarifa za tahadhari Mei 1 kikiwa na kasi ya kilomita 65 kwa saa, safari yake ilianza…

Read More