Admin

Aziz Ki ampiga bao Guede Tuzo ya Ligi Kuu

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Aprili wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024, huku kocha wake, Miguel Gamondi naye akibeba. Aziz Ki ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Kipre Junior wa Azam na Joseph Guede ambaye anacheza naye katika kikosi cha Yanga ambacho kinaongoza ligi. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

MSONDE AWATAKA WALIMU KUBUNI NYEZO KUTAMBUA UWEZO WA MWANAFUNZI

Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri masomo badala ya kuharakisha kumaliza mada (Topics). Dkt. Msonde amesema hayo wakati akizungumza na walimu wa shule mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Mbogwe katika…

Read More

Kwenye gofu ukilala njaa ni uzembe wako

KUNA watu wamegundua fursa zilizopo kwenye mchezo wa gofu na wameamua kupiga pesa, kutokana na mishe mbalimbali wanazozifanya, jambo kubwa lililowafanikisha hayo ni uthubutu na kutoona aibu. Mzuka wa gofu, kupitia gazeti la Mwanaspoti, limefanya mahojiano na Prosper Emmanuel anayesimulia mishe anazofanya nje na kucheza gofu, zinazompa pesa za kujikimu maisha yake. “Kwanza kama kijana…

Read More

UBALOZI WA MAREKANI KUENDELEZA MASHIRIKIANO NA CHUO CHA MIPANGO DODOMA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Michael Anthony Battle amesema Serikali yake itaendelea kuimarisha uhusiano wa kikazi na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) ili kuchochea kasi na juhudi ya Serikali ya Tanzania katika kutokomeza umaskini. Ameeleza kufurahishwa na namna ya kitaalamu na kizalendo ambayo chuo hicho kimekuwa kikitekeleza programu mbalimbali…

Read More