Admin

Kibu D, namba na hali halisi vinapotofautiana

SIJUI kama tutajua tufuate lipi katika soka la kisasa. Takwimu au macho yetu? Tangu tuanze kushika kompyuta zetu soka limeanza kutuchanganya. Tuamini katika lipi kati ya tunachokiona kwa macho au takwimu. Wiki iliyopita ilikuwa ya Kibu Dennis. Sijajua ukweli hadi sasa. Tulichosikia ni hajataka kusaini mkataba mpya pale Msimbazi na anataka kuondoka zake pindi msimu…

Read More

Tanzania  yasisitiza kuwa Kituo Kikuu cha Uchimbaji Madini Afrika

Tanzania imeendelea kusisitiza adhma yake ya kuwa kituo kikuu cha uchimbaji madini barani Afrika, kupitia  hatua zake mbalimbali za kimkakati na kiujumuishi ikiwemo sera zake zinazotoa motisha kwa wawekezaji sambamba mazingira bora ya uwekezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Dk. Steven Kiruswa, Naibu Waziri wa Madini, alitangaza dhamira hiyo wakati wa majadiliano kwenye Uzinduzi wa Mkutano…

Read More

Wakunga waeleza kinachoshusha morali ya kazi

Unguja. Licha ya wakunga kuwa watendaji wakuu wa kutoa huduma kwa mama na mtoto kwenye sekta ya afya, wamesema wanakabiliwa na changamoto nyingi, hivyo kushusha morali ya utendaji wao. Miongoni mwa changamoto hizo ni kushindwa kutambuliwa mchango wao wanapofanya vizuri, bali hupokea lawama wanapokosea kutokana na sababu za kibinadamu kama uchovu unaotokana na kufanya kazi…

Read More

MRADI WA KUENDELEZA LISHE NA UFUGAJI ENDELEVU WA VIUMBE MAJI KWA WAKULIMA WADOGO YAZINDULIWA MPITIMBI

Na Mwandishi Wetu – Songea Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe Jenista Mhagama amezindua Mradi wa kuendeleza lishe na ufugaji endelevu wa viumbe maji kwa wakulima wadogo (ARNSA) katika kijiji cha Mpitimbi kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini Mkoani Ruvuma Tarehe 4 Mei 2024….

Read More

Wafuga kuku wafundwa kufuga kisasa

Kagera. Wafugaji zaidi ya 400 kutoka wilaya saba za Mkoa wa Kagera wamepatiwa mafunzo ya ufugaji kuku wa kienyeji kwa njia za kisasa na kibiashara ili wapate tija na kuinua uchumi wao. Mafunzo hayo yamefanyika leo Jumapili Mei 5, 2024 na kampuni ya uzalishaji kuku na vifaranga ya Silverlands Tanzania Limited inayopatikana mkoani Iringa yakiwashirikisha…

Read More

Kaya 7,800 kufikiwa utoaji maoni Dira ya Maendeleo

Unguja. Kaya 7,800 zikitarajiwa kutoa maoni kuhusu Dira ya Maendeleo ya mwaka 2050, mamlaka husika zimeshauriwa kuhakikisha zinafanya uchaguzi sahihi ili watakaoshiriki wasiegemee upande mmoja. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi Kisiwani Unguja wamesema uzoefu unaonyesha wanapokuwa na utaratibu wa kuchukua maoni walengwa wakuu husahaulika. “Huu ni utaratibu mzuri kuwaangalia wananchi lakini ni vyema…

Read More

JKT YAACHANA NA KUNI SASA NI MATUMIZI YA GESI

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua jiko la gesi katika Kikosi 825 KJ Mtabila, wilayani Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Na Alex Sonna-KASULU VIJIJINI JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeanza kutekeleza agizo la Serikali la matumizi ya nishati…

Read More

Kipa Msudani awadatisha mabosi Azam FC

KIWANGO alichokionyesha kipa wa kimataifa wa Azam FC, Msudan Mohamed Mustafa, kimewashawishi viongozi wa klabu hiyo kuanza mchakato wa kukaa naye mezani kwa ajili ya mazungumzo ya mkataba mpya. Azam FC ilimsajili kipa huyo kwa mkataba wa miezi sita kutoka klabu ya El Merreikh, mkataba ambao unamalizika mwisho wa msimu huu. Alipoulizwa mtendaji mkuu wa…

Read More