Admin

Serikali kuukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda serikali itaufanyia ukarabati Uwanja wa Jamhuri ili uweze kutumika.kwa mazoezi kuelekea mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti Waziri Ndumbaro amesema serikali imeamua kuja na mbinu mbadala ya kuwa…

Read More

MSAADA WA AMREF NA CDC YAWANUFAISHA WANAFUNZI 3,000 HANANG’

Na Mwandishi wetu, Hanang’ SHIRIKA la Amref Tanzania na shirika la Marekani la kudhibiti na kuzuia magonjwa (CDC) limewanufaisha wanafunzi 3,000 wa shule za msingi na sekondari wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, baada ya kuwajengea miundombinu ya kudhibiti magonjwa ya milipuko. Mashirika hayo yamewanufaisha wanafunzi hao kwa kuzindua maeneo ya kunawa mikono na kukarabati vyoo….

Read More

WABUNGE WASHIRIKI SEMINA YA UELEWA KUHUSU MRADI WA SGR

WIZARA ya Uchukuzi kupitia Shirka la Reli Tanzania – TRC limefanya semina elekezi kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa – SGR unaoendelea, semina imefanyika katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma, Mei 2023. Lengo la Semina ni kuwajengea uelewa wa pamoja wabunge…

Read More

Kasi ya ACT Wazalendo na tathmini ya miaka 10 ijayo

Kigoma. Safari ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwa Chama cha ACT Wazalendo inaandikwa leo usiku, huku viongozi wake wakitabiri taswira ya chama hicho katika miaka kumi ijayo. Kwa mtazamo wa viongozi hao, katika miaka 10 ijayo, ACT Wazalendo ndicho kitakachoshika hatamu ya uongozi serikalini, kielelezo cha ushirikishwaji wa vijana katika siasa na taswira halisi ya…

Read More

WAKAZI LOBO WATOA LAWAMA KWA VIONGOZI WA KIJIJI NA CCM KUKACHA MKUTANO WA DIWANI

-Wawatuhumu kuogopa kuulizwa uuzaji wa ardhi Na Mwandishi wetu, Simanjiro  WAKAZI wa Kijiji cha Loiborsiret Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamewashukia Mwenyekiti wa kijiji hicho  Kimaai Saruni na Mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo Aloyce Teme kwa kukacha mkutano wa Diwani wa kata ya Loiborsiret, Ezekiel Lesenga (Maridadi). Wananchi hao wamedai kuwa viongozi hao wamegoma kushiriki…

Read More

Kauli ya Lissu yazidisha fukuto Chadema

Dar es Salaam. Katika hali inayoendelea kufukuta ndani ya Chadema, kufuatia kauli ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Tundu Lissu kwamba kuna fedha zimemwagwa katika uchaguzi wa ndani, kikao cha Kamati Kuu kinachosubiriwa ndio kinatajwa kutegua kitendawili. Kikao hicho ambacho hata hivyo tarehe yake haijapangwa, kinatarajiwa kuwa cha moto, huku hoja ya fedha kumwagwa…

Read More

TIC KUBORESHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI, WAZINDUA KITUO KIPYA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo wa pili kutoka kushoto akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Kituo Maalumu za kurahisisha huduma za Uwekezaji Nchini, Kutoka Kulia ni Meneja Uhusiano wa Azania Bank, Halima Semhunge, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo…

Read More

Kishindo cha Kimbunga Hidaya | Mwananchi

 Dar/mikoani. Wakati Kimbunga Hidaya kikitarajiwa kupungua nguvu zaidi kuanzia kesho, kishindo cha athari zake  kimeanza kuonekana, baada ya  bei ya samaki kupanda, huku shughuli za usafiri wa majini zikisitishwa. Kupanda kwa bei katika masoko ya samaki bara na visiwani, imeelezwa na wafanyabiashara kuwa ni  mara mbili ndani ya kipindi kifupi. Wavuvi nao wanaelezea ugumu wa…

Read More