Admin

MTU WA MPIRA: Kwanini Mgunda asiaminiwe moja kwa moja?

MLETE MGUNDA. Ni kauli maarufu zaidi kwa wapenzi wa Simba pale mambo yanapokuwa magumu kwao. Kwanini? Subiri nitakwambia. Hapa majuzi aliyekuwa kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha aliomba kuondoka klabuni hapo kutokana na matatizo ya kifamilia. Ilikuwa ni mshtuko mkubwa sana. Simba ilishaweka matumaini makubwa kwa Benchikha kusuka timu ya msimu ujao. Benchikha hakua na msimu…

Read More

Mabao ya Freddy yamuibua Phiri

SIMBA mnamkumbuka kocha wenu wa zamani Patrick Phiri? Amewatumia salamu akiwaambia kuwa ilibaki kidogo tu presha ya mashabiki iwaondolee mshambuliji mzuri ambaye sasa ameanza kuonyesha mabao yake. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo Mzambia ambaye amewahi kuinoa Simba kwa mafanikio alisema kitendo cha timu hiyo kukosa matokeo mazuri na mashabiki kuongeza presha kwa wachezaji ilikuwa mbaya…

Read More

JKT Tanzania yaua, kubaki Ligi Kuu bado mtihani

LICHA ya kusogea hadi nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 29, timu ya JKT Tanzania bado haina uhakika wa kucheza ligi msimu ujao. JKT Tanzania imeshinda mabao 2-0 kwenye uwanja wao wa nyumbani dhidi ya Geita Gold na kupanda nafasi mbili ikizishusha Namungo na Dodoma Jiji. Matokeo hayo…

Read More

Viongozi wadaiwa kukacha mkutano wa diwani Simanjiro

Simanjiro. Wakazi wa Kijiji cha Loiborsiret wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamewashukia mwenyekiti wa kijiji hicho  Kimaai Saruni na mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo, Aloyce Teme kwa kutoshiriki mkutano wa Diwani wa Loiborsiret, Ezekiel Lesenga maarufu Maridadi. Wananchi wamedai viongozi hao wamegoma kushiriki mkutano wa diwani wao uliokuwa na agenda ya kusoma taarifa ya utekelezaji…

Read More

Wakazi, wanafunzi wakwama kivuko kikisimama kufanya kazi Lindi

Lindi.  Kivuko cha MV Kitunda kinachofanya safari zake kutoka Ng’ambo ya Lindi Mjini kwenda Kitunda kimesitisha safari kwa hofu ya Kimbunga Hidaya. Jana, Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania  (Temesa) umetangaza kusitisha huduma za vivuko katika mikoa mitatu ya Mtwara, Lindi na Pwani kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuhusu…

Read More

Uzalishaji korosho wapaa, sababu zatajwa

Louis Kolumbia, Mwananchi [email protected]Dar es Salaam. Uzalishaji wa korosho umepanda kwa tani 115,900, kutoka 189,114 zilizozalishwa msimu wa 2022/23 hadi tani 305,014 katika msimu wa 2023/24, kulingana na tathmini ya awali ya Bodi ya Korosho ya Tanzania (CBT). Tathmini hiyo inaonyesha ongezeko la uzalishaji limetokana na utoaji wa pembejeo za kilimo kwa njia ya ruzuku…

Read More